• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, AZINDUA MRADI WA SINGIDANI COMMERCIAL COMPLEX, MJINI SINGIDA

Posted on: June 30th, 2018

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amewaagiza watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa -NHC- na Taasisi nyingine za Serikali kuhakikisha pindi wanapojenga majengo mbalimbali yakiwemo ya kibiashara au nyumba za makazi kutumia malighali zinazopatikana kwenye eneo husika ili kukuza uchumi wa wafanyabiashara na kukuza ajira kwa Watanzania.

Waziri Mkuu MAJALIWA ametoa maagizo hayo mjini Singida wakati akizindua jengo la uwekezaji la SINGIDANI lilijengwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC ambao ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi bilioni 3.4.

Uzinduzi wa jengo la kisasa la uwekezaji la SINGIDANI mjini Singida umewavutia wananchi wengi ambao wamefika katika eneo hilo kuja kushuhudia uzinduzi wake ambao umefanywa na Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA.  

Katika hotuba yake ya uzinduzi wa jengo hilo, Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amewaagiza watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kuhakikisha wanatumia malighali za ujenzi wa majengo yanayopatikana katika eneo husika ili kusaidia kukuza uchumi wa wafanyabiasha na kuongeza ajira kwa wananchi.

Pamoja na Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA kusisitiza kuhusu utunzaji wa majengo yaliyojengwa lakini amesema kuwa lengo la Serikali ya awamu ya Tano ni kuhakikisha idadi kubwa ya wananchi nchini wanapata makazi bora na kwa bei nafuu kupitia ujenzi unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa nchini.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi WILLIAM LUKUVI amesema ujenzi wa majengo ya biashara yanayojengwa na NHC hayatauzwa kwa wananchi bali yatakuwa yanapangishwa tu.

Kwa upande wake, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa SINGIDA Dtk. REHEMA NCHIMBI amesema mkoa huo upo tayari kutoa maeneo ya kujenga majengo ya uwekezaji na nyumba za makazi bila masharti magumu.

"Jengo hili ni ufunguo kiashiria kuwa Singida hii ni njema sana na iko tayari kuwa rafiki mwenza na mwaminifu wa uwekezaji mkubwa, uwekezaji wa kati na uwekezaji wa msingi kuelekea Singida na Tanzania ya viwanda" Alisema Dkt. Nchimbi.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.