• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

*MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA ATOA WITO WA KULINDA BAJETI KWA MAENDELEO ENDELEVU

Posted on: January 24th, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Mhe. Elia Digha, ametoa wito kwa Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhe. Godwin Gondwe, kuhakikisha bajeti zilizoombwa hazipunguzwi ili kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya halmashauri kufanyika kwa ufanisi.

“Hii bajeti inayoombwa, Mhe. Mkuu wa Wilaya, haipaswi kupunguzwa sana, si kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida pekee, bali pia kwa Manispaa ya Singida, ambao pia wamekuwa wahanga wa kupunguzwa kwa bajeti zinazopendekezwa,” alisema Mhe. Digha.

Mhe. Digha ameyasema hayo Januari 24, 2025 wakati akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kilichojadili utekelezaji wa mpango wa bajeti wa mwaka 2023-2024 na mpango wa bajeti wa mwaka wa fedha 2025-2026.

Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Maktaba ya Mwenge Sekondari, na kilihusisha Halmashauri mbili za Wilaya ya Singida, yaani Halmashauri ya Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Singida DC).

Mhe. Digha alisisitiza kuwa upunguzaji mkubwa wa bajeti unaweza kuathiri utekelezaji wa miradi muhimu ya maendeleo, ambayo inalenga kuboresha maisha ya wananchi wa Wilaya ya Singida. Aliongeza kuwa ushirikiano kati ya halmashauri na viongozi wa ngazi ya wilaya ni muhimu katika kuhakikisha rasilimali za kifedha zinapatikana kwa wakati na zinalingana na mahitaji halisi ya maeneo husika.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.