• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba afungua Mafunzo ya itifaki kwa Wakurugenzi na Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

Posted on: November 18th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewataka  viongozi mbalimbali walioshiriki mafunzo ya itifaki ya viongozi wa Kitaifa na usimamizi wa maadhimisho ya sherehe na matukio yanayohusu viongozi wa Kitaifa kutumia mafunzo hayo kuboresha utendaji kazi wao.

Maelezo hayo ameyatoa wakati wa ufunguzi wa Mafunzo hayo yaliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Uhasibu Mkoani hapo.

RC Serukamba amesema  Mafunzo hayo yatasidia kuondoa ubabaishaji ulikuwa unafanywa katika eneo hilo ambapo watu walikuwa wakikosea  matumizi ya alama za Taifa ikiwemo bendera na wimbo wa Taifa.

"Nimejulishwa kuwa mtapata elimu ya matumizi ya Alama za Taifa hivyo ni matumaini yangu kuwa mtapata ufafanuzi sahihi juu ya maswala ya uwekaji wa bendera  na matumizi ya Alama za Taifa kama wimbo wa Taifa" Alisema Serukamba.

Hata hivyo Serukamba alisistiza Mafunzo hayo yatolewe kwa watu wengini kuondoa makosa ambayo yalikuwa yanafanyaki huku akiwataka viongozi hao kuwa mabalozi kwa watumishi wao na kuwapelekea elimu waliyopata ili kuongeza uelewa kwa watu wengi.

"Kwa uzoefu wangu kuhusu masuala haya nimegundua kuna ubabaishaji mkubwa kwa watu kukosea hivyo ni matumaini yangu baada ya Mafunzo haya tatizo hilo litaisha”. RC Serukamba

Mkurugenzi wa Maadhimisho na Sherehe za Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Batholomeo Jungu akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba kufungua mafunzo.

Akimalizia hotuba yake RC Serukamba  amesema ifikapo kesho mwisho wa Mafunzo hayo viongozi hao watakuwa na weledi  ambao utaongeza umakini mkubwa katika utendaji wa kazi.

Awali akifungua Mafunzo hayo Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Exervier Saudi amesema Mafunzo hayo ni ya siku mbili na yanalengea kukumbusha na kubadilisha mawazo kuhusu itifaki ya viongozi na misingi ya maadili ya Taifa.

Amesema Mafunzo hayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa katika utekelezaji wa majukumu yao kwa ufanisi zaidi na yatasaidia katika ulinzi na usalama.

Hata hivyo Katibu Mkuu huyo alibainisha kwamba mafunzo hayo yamehusisha Wadau 250 wakiwemo Wakurugenzi na Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa mbalimbali hapa nchini.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.