• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Singida Awataka Vijana Kutumia Teknolojia Ya Simu Kutafuta Masoko

Posted on: September 21st, 2021

Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Binilith Mahenge amewataka vijana kutumia teknolojia ya  mitandao ya simu kutafuta masoko ya bidhaa zao badala ya kutegemea Serikali kufanya kila kitu.

Akiongea wakati wa uzinduzi wa  mradi wa ufugaji wa nyuki wa kisasa  katika kanisa la  Anglikana Muhala unaomilikiwa na  vijana wa Wilaya ya Manyoni chini ya shirika la Compassion  International Tanzania Dkt. Mahenge amesema yapo mataifa ambayo yanauitaji mkubwa wa asali, mbuzi  na ng’ombe  lakini hawajaweza kupata kwa utoshelevu kwa kuwa biashara imekuwa haifanyiki ki kamilifu.

Dkt. Mahenge amewataka vijana kuhakikisha kwamba wanatumia simu uwepo wa simu na mitandao ya kijamii kwa lengo la kuuza na kununua bidhaa mbalimbali

Amesema Serikali imetumia fedha nyingi kuwekeza miundombinu mbalimbali  ikiwemo mkongo wa taifa ili kundi la vijana lipate kufaidika  kupata  soko na marifa mapya ya ki biashara.

Aidha amewataka vijana kulinda miundombinu pamoja na miradi wanayotafutiwa na mashirika mbalimbali pamoja na Serikali ili kufikia lengo la kumkomboa kijana na wanakwake kwa ujumla.

Dkt. Mahenge amebainisha kwamba Serikali inatekeleza sharia inayozitaka Halmashuri kutenga asilimia kumi (10%) kwa ajili ya vijana na asilimia 40 % kwa ajili ya wanawake na walemavu hivyo kumtaka Mkurungezi wa Halmashauri ya Manyoni kuhakikisha kwamba asilimia hiyo  inatumika kuendeleza vijana wilayani hapo.

Naye Afisa vijana wa Mkoa wa Singida Bwana Fredrick Ndahani pamoja na kumshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuzindua mradi wa vijana hao na kuwakabizi vitendea kazi mbalimbali vikiwemo Pikipiki  na mizinga  vyenye thamani ya shilingi milioni 80.4 amezishukuru Taasisi za dini kwa kuwajali na kuwasaidia vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa.

Hata hivyo Bwana Ndahani amewaomba  viongozi hao kuendelea kutumia rasilimali walizonazo kuendelea kuwasaidia vijana.

Mwisho amewataka vijana kuendela kuwa waaminifu ili waweze  kuaminiwa na kusaidiwa na jamii inayowazunguka.

Aidha mbali ya uzinduzi wa mradi wa vijana hao mkuu wa mkoa ametembelea  mradi wa ujenzi wa zahanati  ya maweni, shule ya msiningi sayuni na shule ya sekondari ya Mlewa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.