• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Singida Waja na Mpango mkakati wa kuboresha elimu ya Sekondari

Posted on: September 23rd, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko amekutana na Wakuu wa shule za Sekondari na wadau wengine wa Mkoani hapo, kujadili namna ya kuboresha Mazingira ya utoaji wa elimu katika shule hizo ili yawe rafiki kwa walimu na wanafunzi.

Akiongea katika Mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA uliopo Singida Mjini, Katibu Tawala amesema, Serikali itaboresha elimu ya Sekondari kwa kuangalia uboreshaji wa majengo, huduma muhimu mashuleni na upatikanaji wa chakula ili kuongeza viwango vya ufaulu.

Amesema ili kuimarisha taaluma Mkoani hapo ni lazima kuwepo kwa vifaa stahiki vya kufundishia na kujifunzia, mafunzo kwa walimu, matumizi ya TEHAMA na uwepo wa masomo muda wa ziada kwa wanafunzi.

Aidha, amebainisha kwamba ili Mkoa uweze kufanikiwa Katika kuinua viwango vya elimu ni lazima kuwepo na uwajibikaji na ushirikishwaji baina ya walimu, wanafunzi, wazazi na jamii kwa ujumla ambapo viongozi au wasimamizi wataimarisha ufuatiliaji, nidhamu na maadili.

Mwaluko amewataka wakuu wa shule kuongeza ubunifu huku akieleza mpango wa kuweka viashiria  vya kuwapima ufanisi wakuu hao kwa kuangalia mahudhurio ya walimu na wanafunzi yasiwe chini ya asilimia 80 mpaka 95, taarifa ya mwalimu wa zamu ya kila siku, daftari la mahudhurio la walimu na daftari la mahudhurio la wanafunzi kwa kila darasa.

Hata hivyo Mwaluko ameeleza kwamba Serikali inaendelea na Mpango wake wa kuhakikisha kwamba  kila shule inakuwa na  vifaa vya kufundishia vikiwemo vitabu, maabara na shajara na uwepo wa mafunzo kazini  ya walimu.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.