• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

UHABA WA MAFUTA NCHINI UTAMALIZWA NA WANASINGIDA - SERUKAMBA

Posted on: September 7th, 2022

Wakulima wa Mkoa wa Singida wamedhamiria kuondoa changamoto ya uhaba wa mafuta ya kupikia ambapo Taifa limekuwa likilazimika kuagiza bidhaa hiyo nchi za nje.

Akiongea na Madiwani leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi na Itigi  Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba amesema Serikali imeendelea kuwaunga mkono wakulima wa Mkoa huo kwa kupunguza gharama za pembejeo kutoka 140,000 kwa mfuko hadi kufikia Tsh.70,000 jambo ambalo litasaidia kuongeza uzalishaji.

Amesema Mkoa wa Singida umedhamiria kuongeza eneo la kilimo kwa kupitia wadau mbalimbali wakiwemo wakulima wadogo, wakubwa, vikundi AMCOS mbalimbali vikundi vya wakulima na kupitia mashamba ya shule.

RC Serukamba ameeleza kwamba Serikali imewekeza kwa kiasi kikubwa hasa katika bajeti ya kilimo hivyo wakulima wa Singida wataisaidia Serikali kwa kuhakikisha wanaongeza mashamba ya alizeti, mahindi, vitunguu, mbaazi mpunga na viazi.

"Katika mkakati wa alizeti wa mwaka huu Singida tumejipanga kuhakikisha mafuta yote yaliyokuwa yakiagizwa nje ya nchi yanapaitikana Mkoani hapa, muhimu ni viongozi wa vijiji Madiwani na watendaji kuhakikisha kwamba kila Halmashauri inaongeza eneo la kilimo" alisema.

Aidha amewataka wakulima kuanza maandalizi ya Kilimo na kuhakikisha mvua za kwanza zinakuwa za kupandia ili kuondoa mazoea ya kutumia mvua za katikati ambazo mara nyingi zinakuwa hazina matokeo mazuri.

Amewahakikishia wakulima Mkoani humo kuwa Serikali itaweka Mazingira wezeshi kuhakikisha mbegu bora na mbolea  zinapatikana kwa bei ya chini pamoja na masoko ya bidhaa hiyo.

RC Serukamba amefanikiwa kukutana na mabaraza ya Madiwani la Mkalama, Singida Vijijini, Manispaa, Ikungi na Itingi, hata hivyo anategemea kukutana na Madiwani wa Wilaya ya Iramba siku ya tarehe 8/9/2022 pamoja na Manyoni tarehe 10/09/2022.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.