• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Ushawishi Zaidi Watakiwa Kuongeza Wanachama Wa Bima ya Afya iCHF

Posted on: August 18th, 2021

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Victoria Ludovick amefanya kikao kazi kilichowakutanisha wataalamu wa bima ya afya iliyoboreshwa pamoja na maafisa TEHAMA wa Hamashauri zote za Mkoa ili kujadili changamoto mbalimbali zinazokabili jitihada za kuongeza wanachama na mapato katika Mkoa huo.

Baadhi ya changamoto zinazowakabili ni pamoja na utunzaji hafifu wa vitenda kazi katika Halmashauri mbalimbali mkoani hapa ambapo kunaweza kusababisha kutofikia idadi ya wanachama ambao wametegemea kuwasaliji.

Akiongea wakati wa kikaokazi kilichofanyika tarehe 18. 08.2021 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa, Dkt. Victoria Ludovick amesema kuongezeka kwa wanachama wa iCHF kunategemea uwezo mzuri wa maafisa waandikishaji na vifaa walivyopewa ili kutumia mifumo ya kielektroniki kikamilifu.

Aidha amebainisha kwamba umuhimu wa vifaa na utunzaji wake ni muhimu katika kuongeza wanachama kwakuwa vina uhusiano na mifumo ya kielektroni.

Amesema Dkt. Victoria ili kuongeza wanchama ni lazima kila mwandikishaji kuhakikisha anatunza vifaa vya usajili alivyokabidhiwa ili viweze kufanya kazi kwa watu wengi zaidi na kufikiwa malengo yaliotarajiwa.

Kwa upande wa Mratibu wa mradi CHF iliyoboreshwa kutoka katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Singida Bw. Paul John Sangalali amesema mbinu mbadala zinatakiwa kutumika katika kuwashawisha vikundi mbalimbali kujiunga na Bima ya afya iliyoboreshwa.

Amebainisha kwamba bima ni biashara hivyo maafisa usajili ni jukumu lao kutafuta wanachama katika maeneo mbalimbali yakiwemo vikundi vya bodaboda, viwandani, Vyama vya Ushirika, mama lishe na makampuni mbalimbali, vibarua wa ujenzi wa barabara na hata wafanyakazi wa makampuni ya usafi.

Hata hivyo mratibu huyo amebainisha kwamba wataalamu wa usajili wahakikishe wanahusisha kaya ambazo ziliandikishwa na kumaliza muda wake kama njia jingine ya kulinda afya zetu lakini kuongeza mapato ya vituo vya afya.

Aidha Bwana Paul anabainisha kwamba umefika wakati kila mtanzania kuwa na bima ili kumsaidia katika matibabu na kuondokana na mila na desturi za kwamba uwepo wa bima ni kukaribisha magonjwa.

Kwa upande wake Bi Sigilinda Modest Mdemu Afisa uchaguzi Manispaa Singida ametumia uzoefu wake katika bima hizo na kushauri matumizi ya njia za mabango, vyombo vya habari na viongozi wenye ushawishi kuwaelezea wananchi juu ya umuhumi wa bima hiyo ya afya.

 

 

 

 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.