• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WAFANYABIASHARA WATOA CHANGAMOTO NA KERO ZAO, SULUHU KUPATIKANA

Posted on: January 22nd, 2025

Viongozi na wajumbe kutoka Tume ya Rais ya maboresho ya Kodi wamefika Mkoani Singida kwa lengo la kuzungumza na Wafanyabiashara,wajasiriamali wadogo na wakubwa  Mkoani Singida pamoja na kusikiliza kero, changamoto,na kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwao kwa lengo la kuhakikisha wanakuwa kibiashara na kuongeza wigo wa kulipa kodi.

    Wafanyabiashara hao wametoa maoni  yao ikiwa ni pamoja na kuiomba  Mamlaka ya mapato nchini TRA kuanzisha maduka darasa ili wafanyabiashara wajifunze kupitia maduka darasa hayo kama ambavyo sekta zingine zinafanya,Lakini pia wameshauri ajira za TRA ziwape kipaumbele vijana waliosomea mambo ya kodi ili kuongeza ufanisi katika kusimamia kodi.

    

  Pia wameomba kupunguzwa kwa vizuizi barabarani ambavyo vimekuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara wanaposafirisha mizigo yao  hivyo Tume hiyo iangalie katika eneo hilo na kulitafutia ufumbuzi mbadala.

Aidha,wafanyabiashara hao wameiomba tume hiyo  kurejesha vitambulisho vya wafanyabiashara wajasiriamali vilivyokuwa vikilipiwa Shilingi Elfu ishirini ili kuongeza idadi ya walipakodi nchini  na kuchochea  maendeleo.

Katibu Tawala  Mkoa wa Singida Daktari Fatuma Mganga akizungumza baada ya kusikiliza kero mbali mbali za Wafanyabiashara amewaagiza TRA kuhakikisha wanafanyia kazi malalamiko yote yaliyotolewa pamoja na kuboresha huduma zao ili ziwe rafiki kwa wateja wao kwa lengo la kuhakikisha ongezeko la mapato katika Mkoa bila kuathiri Wafanyabiashara.

Pia aliwasilisha changamoto ya kukosekana ya uandaaji wa mahesabu ya biashara inayosababisha kufungwa kwa biashara  baada ya ukaguzi kwa wafanyabiashara ambao hulalamika kukosekana kwa uwiano wa tozo wanazodaiwa na faida inayopatikana.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Singida akiwapokea wajumbe hao ofisini kwake amesema ni wakati sahihi kwa wao kufika Singida ili kusikiliza maoni na changamoto Wafanyabiashara wanazopitia katika kazi zao.

Amesema kuwa ,makusanyo ya kodi  Mkoani Singida yapo vizuri kwani wananchi wanajitambua na wanalipa kodi licha ya changamoto zilizopo ikiwemo elimu ndogo ya ulipaji kodi hususani vijijini,matumizi madogo ya mashine za EFD,na mrundikano wa tozo katika Halmashauri.

Amesema kuwa kama Mkoa wameandaa mikakati ya kutoa elimu ya ulipaji kodi kwa kushirikiana na TRA pamoja na kusisitiza matumizi ya mashine za EFD kwa wafanyabiashara.Pia kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara ikiwemo miundombinu ya barabar na masoko,pia, kutumia rasilimali na vyanzo mbadala kuongeza mapato.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya maboresho ya Kodi,Balozi Ombeni Sefue amewahakikisha wafanyabiashara wa Mkoa wa Singida kuwa  wataziwasilisha kero zao zote  kwa Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na wataendelea kupokea kero zao kupitia njia  mbalimbali ikiwemo barua pepe.

Mkutano huo umewakutanisha viongozi na wafanyabiashara mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Wilaya, wakuu wa Sehemu na vitengo, Wakurugenzi wa Halmasahauri, Wakuu wa Taasisi za umma na binafsi, wawakilishi wa Wafanyabiashara, wanawake wajasiriamali na Chama cha watu wenye ulemavu.


@USIKOSE KUFUATILIA MITANDAO YETU YA KIJAMII

INSTAGRAM:SINGIDA RS

FACEBOOK:SINGIDA RS

YOUTUBE:RAS SINGIDA 


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.