• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wakulima wa korosho Manyoni waahidiwa kupata mashamba yao Novemba 30, 2022.

Posted on: October 3rd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewaahidi wakulima wa korosho Wilayani Manyoni kukabidhiwa mashamba yao ifikapo Novemba 30 tofauti na hapo ataiburuza Polisi kamati nzima inayoshughulikia usafishaji na ugawaji wa mashamba hayo kwa wakulima.

Ahadi hiyo ameitoa leo katika Mkutano na wakulima uliofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo ambapo wakulima hao waliahidiwa awali kupata mashamba yao October 30 mwaka huu yakiwa yamesafishwa lakini kulingana na changamoto za rasilimali fedha Kamati husika imeeleza kwamba hayakuweza kukamilika.

Serukamba ameitaka Kamati hiyo kuhakikisha zoezi la kukabidhi mashamba hayo kwa wakulima linakamilika kufikia Novemba 30 yakiwa yamesafishwa au kutosafishwa mbali na hapo atahakikisha anawapeleka Polisi na kuwafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi.

Aidha RC Serukamba amemtaka Afisa ugani wa eneo la Mradi pamoja na Msimamizi wa mradi huo Adelard  Michael Rweikiza kuondoka muda huo huo kwenda kutatua changamoto ya wakulima waliokuwa na  mashamba yanayomilikiwa na watu wawili.

Kwa upande wao wakulima hao wamemuomba RC Singida  kuwabana watu wanaoleta mzaha katika mashamba hayo ambapo waliolipia fedha za mashamba na usafishaji toka mwaka 2019 na wamekuwa wakipoteza muda na fedha kufuatia zoezi hilo ambalo halioneshi kuleta matunda ya hivi karibuni.

Katika hatua nyingine baadhi ya wakulima wa korosho Wilayani hapo wameiomba Serikali kuangalia swala la uvamizi wa Tembo katika mashamba yao na kufanya uharibifu mkubwa na kuhatarisha maisha wa wakulima.

Wamesema makundi hayo ya Tembo wenye watoto yamekuwa tishio kwa Maisha ya wakulima na kusababisha hasara katika mashamba hayo huku wakilalamikia huduma ya Askari wanyamapori kuwa ndogo kutokana na uchache wao na uhaba wa vitendea kazi, jambo ambalo RC Serukamba amesema Serikali italifanyia kazi huku akiwataka kuhakikisha wanatumia mbinu za asili ikiwemo kuweka uzio, kutumia oil chafu wakati Serikali ikiendelea na utatuzi wa changamoto hiyo.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.