• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Uchimbaji Madini

Uchimbaji wa Madini

Mkoa umejaliwa kuwa na madini katika meneo mbalimbali yapatayo 46. Madini yanayopatikana ni dhahabu, shaba, chuma, Titunium; urani, zircon, quartz, amethyst, garnment, kimbertic, almasi, madini ya chumvi, kifusi, mawe, gypsum, kokoto na mchanga.

Kwa kiasi kikubwa uchimbaji unafanywa na wachimbaji wadogo. Usimamizi wa Sekta hii hufanywa na Ofisi za Kanda za Madini. Kwa sasa ipo Kampuni inayoitwa Shanta Mine ipo kwenye mchakato wa kufungua mgodi wa kati wa kuchimba madini ya dhahabu eneo la Sambaru katika Halmashauri ya Ikungi.

Uzalishaji na thamani ya madini kwa mwaka 2016/2017

Madini ya ujenzi uzalishaji wake ulikuwa tani 34,102.50 zenye thamani ya Shs 125,500,000, madini ya jasi uzalishaji wake ulikuwa tani 5,290.83 sawa na Shs 411,341,666.67, na dhahabu uzalishaji wake ulikuwa ni gram 31,383.26 sawa na Shs 2,089,659,445.5 na hivyo kufanya jumla ya mapato ya Shs 2,626,501,112.17.

Jumla ya mrabaha uliotolewa kwa mwaka 2016/2017 ni Shs 115,052,531, kwa madini ya dhahabu ni Shs 83,592,531.29, madini ya jasi ni Shs 12,437,000 na madini ya ujenzi ni  Shs  19,023,000.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC Serukamba atembelea Vituo vya kulisha watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

    January 25, 2023
  • Waliokula fedha za CHAMWAI dawa yao inachemka - Serukamba

    January 24, 2023
  • Serukamba amaliza mgogoro wa shamba Yulansoni uliodumu kwa zaidi ya miaka kumi.

    January 23, 2023
  • Zoezi la upandaji miti laendelea kwa kasi Manyoni na Ikungi.

    January 21, 2023
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.