• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

BAJETI MPYA YACHAKATWA, KUGUSA MAENEO MUHIMU

Posted on: March 23rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego ameongoza kikao cha tathmini ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa mwaka 2024/2025 pamoja na kujadili bajeti pendekezwa kwa mwaka mpya wa 2025/26

                    Lengo lakikao hicho ni kuwasilisha, kupitia na kujadili tathmini ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa mwaka 2024/25 katika Halmashauri ikiwemo mapato yaliyoidhinishwa, makusanyo halisi na ufanisi,uchangiaji wa mapato ya ndani katika mifuko ya asilimia kumi ikiwemo upelekaji fedha za mikopo ya asilimia kumi kwa makundi husika.

       Pia wajumbe wamejadili kuhusu miradi ya mapato ya ndani, changamoto na mikakati ya kuboresha utekelezaji wa bajeti pamoja na kujadili mapendekezo ya makisio ya mpango na bajeti ya mwaka 2025/2026.

Akizungumza na wajumbe wa menejimenti ya Mkoa,Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi baada ya wasilisho la bajeti,Mhe.Dendego amesisitiza utendaji bora wa kazi kwa watumishi kwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa ushirikiano kwa lengo la kuhakikisha kazi inaendelea mbele kwa kuzingatia utu na ushirikiano huku akiagiza viongozi kuhakikisha watumishi wanapata stahiki zao kwa wakati.

Pia ametoa maelekezo ya uandaaji mzuri wa bajeti mpya kwa kipindi kijacho kwa kuhakikisha zinagusa maeneo muhimu yatakayoleta maslahi mapana kwa jamii wanayoiongoza ikiwemo kutumia vizuri fedha za miradi kwa kuhakikisha miradi mipya na kiporo inafanyiwa kazi na kukamilika kwa wakati muafaka na jamii kunufaika nayo mfano miradi ya ujenzi wa vituo vya Afya na shule.

Kikao hicho kilichofanyika Mkoani Dodoma kimehudhuriwa na Viongozi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida,Wakuu wa wilaya , makatibu Tawala wa wilaya Wakurugenzi,Wakuu wa Idara na Vitengo, wahasibu , mipango na uratibu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • ANUANI ZA MAKAZI KUJA NA FURSA LUKUKI ZA MAENDELEO KWA WANANCHI

    May 26, 2025
  • WANAFUNZI NI SALAMA CHINI YA MRADI WA SHULE BORA .

    May 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.