• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

DC MWENDA ASHANGAZWA NA WANAOSEMA HALMASHAURI YA IRAMBA HAIJAWACHUKULIA HATUA WALIOFUJA FEDHA ZA UMMA

Posted on: October 13th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleiman Mwenda ameeleza kusikitishwa kwake na taarifa za upotoshaji zilizosambaa katika mitandao ya kijamii kwamba Halmashauri ya Wilaya hiyo haijawahi kuchukua hatua kuhusu ufujwaji wa fedha za makusanyo ya mapato uliofanywa na baadhi ya Watumishi na Mawakala wa Halmashauri hiyo.

Akizungumza jana katika ukumbi wa mikutano mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Tume ya Mahakama uliofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Singida DC huyo amesema mara baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo walianza kuchukua hatua kwa kushirikiana na viongozi wengine ikiwemo kuwafukuza kazi watumishi waliohusika.

Aidha alibainisha kwamba jumla ya Watumishi 72 walikusanya fedha na hawakuzipeleka katika akaunti ya Halmashauri ambapo walipelekwa TAKUKURU ili uchunguzi ufanyike ikiwezekana wachukuliwe hatua.

DC Suleiman aliendelea kueleza kwamba baada ya hatua hiyo Watumishi 49 kati ya Watumishi 72 wameshalipa madeni yao kiasi cha Tsh.Milioni 93

“Aidha  tarehe 28 July niliagiza watu 18 kati ya watumishi 72 kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi na itakapobainika kutumia fedha  hizo waweze kuchukuliwa hatua”. Aliendelea kufafanua DC wa Iramba

Hata hivyo tuliunda kamati ya uchunguzi ambayo iliwaita na kuwahoji bàadhi ya Watumishi hao ambapo majina yao yalipelekwa kwenye Baraza la Madiwani ili kuhojiwa zaidi.

Baada ya mahojiano na Baraza la Madiwani ilibainika kwamba  watumishi hao walikusanya fedha hizo na kizitumia hivyo ikaamuliwa kuwafukuza kazi watumishi sita (6) huku wakiwapa Watumishi 11 siku 45 kurejesha fedha hizo na endapo wakishindwa wataungana na wezao waliofukuzwa alieleza DC Suleiman

Moja kati ya waliofukuzwa kazi ni Afisa biashara wa Wilaya  Prosper Banzi huku kupeleka  Muweka Hazina wa Halmashauri (Muhidini) kupeleka  TAKUKURU pamoja na watumishi wengine wanne kwa ajili  ya mahojiano na kesi zao zinaendelea.

Hata hivyo ameeleza muandishi kuandika kwamba hakuna hatua iliyochukuliwa katika Halmashauri hiyo sio sahihi na huenda ana lengo la kuwachonganisha viongozi wa Serikali na wananchi wake.

"Hata hivyo bado mwandishi huyo alikuwa na nafasi ya kubalansi story yake kwa kuuliza viongozi wa Halmashauri hiyo kama kuna hatua iliyochukuliwa". Alieleza DC

Aidha Mwenda amesema inawezekana mtu huyo aliandika habari kwamba hakuna hatua zilizochukuliwa huenda anatumiwa na wale ambao wamewafukuza.

"Tutaendelea kuwa wakali na tutaendelea kuchukua hatua stahiki bila kumuonea mtu” alisema Mwenda

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.