• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

DKT. NCHIMBI AMEYATAKA MAKAMPUNI YALIYOCHUKUA FEDHA KUTOKA KWA WAKULIMA KWA LENGO LA KUWAUZIA PEMBEJEO ZA KILIMO NA HAWAKUWAPA KURUDISHA FEDHA HIZO MARA MOJA.

Posted on: December 11th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi ameyataka makampuni yaliyochukua fedha kutoka kwa Wakulima kwa lengo la kuwauzia Pembejeo za kilimo na hawakupata kurudisha fedha hizo mara moja.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayokatika kikao cha ALAT kilichofanyika Desemba 6, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa huo ambacho kiliwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri zote za mkoa.  

Dkt Nchimbi alisema haiwezekani makampuni yachukue fedha kwa wananchi halafu wasipatiwe Zana hizo, hivyo Viongozi wa halmashauri wahakikishe wanasimamia maslahi ya wananchi.  

"Hizo fedha nataka zirudi kwa Wakulima tena bila makato yeyote, mkulima asikatwe hata senti moja."alisema Dkt Nchimbi. 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi, Ally Minja alisema moja ya makampuni yaliyochukua fedha kwa wananchi kwa lengo la kuwapa Zana za kilimo ikiwemo Matrekta ni pamoja na SUMA JKT ambapo kuna baadhi ya wakulima walitoa fedha zao lakini mpaka sasa hawajapatiwa Pembejeo hizo jambo ambalo limewarudisha nyuma kimaendeleo.  

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa aliwata watumishi wa Serikali kutumika na sio kukaa kwenye viti maofisini kwani mkoa huo sio wa Mabosi bali ni watumishi.

 "Huu mkoa sio wa Mabosi, watumishi tumikeni, ondoeni ubosi watumikieni wananchi."alisema Dkt Nchimbi. 

Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (katikati) akisisitiza jambo, kutoka kushoto Katibu Tawala wa Mkoa Singida Dkt. Angelina Lutambi, Mstahiki Meya Mbua Chima na kutoka kulia Mkurugenzi wa Singida DC RAshidi MAndoa na Mwenyekiti wa halmashauri ya Mkalama Jamse Mkwega wakati wa kikao hicho.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • SINGIDA INVESTMENT GUIDE February 23, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2022 - MKOA WA SINGIDA December 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Dkt. Mahenge Atangaza Fursa kwa Wawekezaji Mkoani Singida

    May 14, 2022
  • Madiwani Watakiwa kushiriki kikamilifu zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi na Posti Kodi Wilayani Manyoni

    May 11, 2022
  • Taasisi binafsi zatakiwa kuonesha ushirikiano katika uwekaji wa Anwani za Makazi Manispaa ya Singida.

    May 10, 2022
  • Watendaji wa Makiungu, Mungaa Watakiwa kufanya "Data Cleaning" Katika zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi.

    May 09, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.