• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

Posted on: May 5th, 2025

Katibu Tawala wa mkoa wa Singida Daktari Fatuma Mganga ametoa rai kwa madaktari bingwa wa Mama Samia kutoa huduma bora kwa wagonjwa wote wanaofika kupata huduma hiyo kwa kuhakikisha kila mmoja anapata huduma stahiki na ya kuridhisha.

Ameyasema hayo leo Mei 5,2025 wakati akifungua kambi ya madaktari bingwa inayoanza Mei 5 na kutamatika Mei 9 katika hospitali ya mkoa wa Singida (Mandewa). 

"Ni wakati wetu sasa kuonyesha uzalendo wetu katika kuwahudumia wenzetu kwani ni jukumu na wajibu wetu kuwahudumia wote wenye mahitaji kwani mazingira ya kufanyia kazi hiyo yapo vizuri ikiwemo vifaa vya kutosha pamoja na watoa huduma wa kutosha,dawa,majengo ya kutolea huduma na mengineyo mengi , hivyo Uwekezaji wetu ulete matokeo mazuri kwa kutumia jitihada zetu ili kuleta matokeo chanya ya huduma hiyo.

Amesisitiza kutumia lugha nzuri pamoja na kutoa huduma nzuri kwa wahitaji wote wanaofika kupata huduma hiyo ili kuacha alama njema hata baada ya zoezi hilo kukamilika pamoja na kuwapa madaktari wageni ushirikiano wa kutosha kutoka kwa madaktari wa Mkoa wa Singida.

"Tunatoa pongezi kwa Mhe Rais kwa kulifanya jambo hilo kuwa rasmi tofauti na huko nyuma kwani amefanya uwekezaji mkubwa sana katika gharama na vifaa muhimu vya kazi inayosaidia kazi kufanyika "

Pia ametoa rai kwa wananchi wa mkoa wa Singida kutumia fursa hii ya madaktari bingwa mkoani hapa ili kuweza kutibiwa magonjwa mbalimbali ambayo yangewahitaji kwenda nje ya mkoa.

Naye mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt.Victorina Ludovick amesema kuwa madaktari bingwa hao walitoa huduma za kibingwa katika hospitali za halmashauri za Mkoa wa Singida ambapo wagonjwa takribani 2500 walipatiwa huduma.

"Tumewapokea madaktari bingwa hapa mkoani kwa sasa ambapo tumepata fursa hii tuluyoipokea kwa moyo mkunjufu nasi tupo tayari kutoa kile tulichonacho pia kujifunza kutoka kwao"alisema Dkt Victorina.

Akizungumza kwa niaba ya wengine waliofika kupata huduma,Marieta Boju ametoa shukrani za dhati kwa Serikali inayoongozwa na Raisi Daktari Samia Suluhu Hasan kwa kuwajali na kuwaletea madaktari bingwa karibu na maeneo yao kwani kwa kufanya hivyo kumewapunguzia gharama kubwa za kufuata huduma hizo mbali ikiwemo nje ya Mkoa wa Singida au nje ya nchi kabisa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.