• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Halmashauri zatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato

Posted on: July 18th, 2022

Halmashauri za Wilaya zimetakiwa kuimarisha vyanzo vya mapato na mifumo ya ukusanyaji fedha ikiwa ni pamoja na kubuni miradi mipya itakayoongeza mapato ya Serikali.

Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa alipokutana na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.

Amesema  wapo watumishi na mawakala ambao wamepewa kazi ya ukusanyaji wa mapato lakini hawapeleki fedha Benki na wengine kuzitumia kwa matumizi yao binafsi hivyo kuwataka viongozi kuwachukulia hatua  wote waliosababisha upotevu wa fedha hizo.

"Mnaweka mawakala kwenye ukusanyaji wa mapato ambao hamna mikataba nao, niwaombe Madiwani itisheni hiyo mikataba muikague na wachukulieni  hatua watumishi ambao wamekula Milioni 300" alisema.

Hata hivyo ametoa onyo kwa Maafisa Tehama ambao wanaingilia mifumo ya ukusanyaji wa fedha ili kukwepesha fedha kutosomeka kwenye mifumo hivyo na kusababisha upotevu wa fedha kupitia mashine za Posi.

Kwa upande wake Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Dr. Festo John Dugange amesema TAMISEMI  ni Wizara ya wananchi hivyo watumishi wakisimamia taratibu zinazotakiwa Serikali itakuwa imefanikiwa kwa  zaidi ya asilimia 70.

Dr. amemuhakikishia Waziri Mkuu kwamba Tamisemi wamepokea hizo changamoto na watazifanyia kazi ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata huduma kama ilivyokusudiwa.

Aidha amewataka watumishi kuachana na vitendo vya kinyume na maadili kwa sababu kwa yeyote atakayehujumu au kufanya jambo kinyume atakamatwa kwa kuwa Serikali ni kama hewa inapatika popote alisisitiza Naibu Waziri.

Hata hivyo Naibu Waziri amekiri kuwepo kwa changamoto katika ukusanyaji wa mapato ya ndani jambo ambalo amesema wamelipokea na wanaendelea kulifanyia kazi ili kurekebisha hali hiyo.

                                                      

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.