• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KAMATI YA RUFANI SINGIDA WALA KIAPO CHA UADILIFU

Posted on: November 1st, 2024

Wajumbe wa kamati ya Rufani kutoka Wilaya tano za Mkoa wa Singida wamekula kiapo cha utii na uadilifu ,uaminifu na  kutunza siri kwa lengo la kuhakikisha  haki kwa watu wote kwa mujibu wa sheria,katiba na kanuni katika  uchaguzi wa serikali za mitaa.

 Tukio hilo limefanyika Novemba Mosi,2024 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Singida likishuhudiwa na Hakimu Fadhili Enock Luvinga.

Akizungumza wakati wa tukio hilo,Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Daktari Fatuma Mganga amesisitiza mshikamano katika kamati za wajumbe wote kwa kufikia makubaliano mazuri yenye tija katika kushuhulikia taratibu zote za uchaguzi kwenda vizuri.

"Mkatumie nafasi zenu vizuri katika kusaidia mkoa wetu ili zoezi zima la uchaguzi liende vizuri na kuridhisha wagombea na wananchi kwa ujumla."alisema

Daktari Mganga amesisitiza wajumbe kupitia kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kupata au kuwa na uelewa wa kutosha juu ya kanuni za uchaguzi ili kutoa maamuzi bora yenye tija na kudumisha amani,upendo na mchakato bora wa uchaguzi mkoani Singida,Pia ameahidi kama Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutoa ushirikiano kwa kamati hiyo ya rufani wakati wowote utakapohotajika kwa nia ya kuhakikisha shughuli ya uchaguzi inakwenda vizuri.

Nasema Kazeni Mwanasheria kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida,akitoa ufafanuzi kuhusu kiapo,amesisitiza kila mmoja akiishi kiapo hicho katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa uadilifu kwani endapo mtu akienda kinyume na kiapo atachukuliwa hatua za kisheria.

"Ikiwa Kiapo ni tamko analotoa mtu ili akubali jambo fulani ,pale Utakapokula kiapo hiki,uadilifu uwe mkubwa sana katikai kazi hii nyeti na  kiapo  huki kitatumiwa kama kielelezo katika  kukuchukulia hatua za kisheria pale utakapokengeuka na kwenda knyume na kiapo hiki"

Sambamba na zoezi hilo,wajumbe wa kamati ya rufani wamekabidhiwa mihuri itakayotumika katika shughuli nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa na kusisitizwa kuitunza vema ili kuepusha matumizi mabaya kwa watu wasiohusika.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.