• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KONGAMANO LA TAHLISO LA UCHAGUZI NA MAISHA BAADA YA CHUO LAFANA.

Posted on: November 16th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego  ameshiriki  kongamano katika chuo cha Uhasibu kampasi ya Singida  lenye jina la Kongamano la  wasomi na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Maisha baada ya chuo kwa wasomi wa elimu ya juu na vyuo vya Kati.

Akizungumza katika kongamano hilo,amewaasa  wanafunzi hao kutumia vzur ujana wao kwa kesho iliyo bora kwa kuzingatia Uzalendo,heshima,utii,na utulivu  na Mtandao wa watu wazuri wenye nidhamu nzuri ili kujiletea heshima katika jamii .

Pia amewasisitiza kujiandaa vizuri kwa kutumia elimu yao wanayopata vyuoni ili kuweza kujiajiri kwani kijana kujiajiri na kujipatia fedha kwa nguvu zake mwenyewe humletea heshima amani na uhuru katika maisha yake.

"Msichague kazi,ni vema kujiajiri ili kuongeza kipato,Tuchakarike vijana kuongeza kipato kwani Ubora na amani ya nchi yetu  ni kutupa fursa ya kupata kipato.Ujana ni fedha,nidhamu na kujiamini.Muda wa kuishi vyuo ni mfupi sana hivo tuutumie vzur kuandaa maisha mazuri ya baadae baada ya  chuo.

Licha ya hayo amewaasa kuepusha mahitaji makubwa yasiyo ya lazima kwa wanavyuo ili kuepusha gharama zisizo na msingi kwa wazazi wao wanaowagharamia,bali kutumia muda wao mwingi kujisomea kwa bidii na kuepuka mahusiano ya kimapenzi wawapo vyuoni yenye fadhaa mbali mbali ikiwemo kufeli mitihani,vifo kutokana na gomvi za wivu wa kimapenzi na magonjwa ya ngono ikiwemo VVU na UKIMWI.

Awali Amaniel Samweli,akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Singida,ametoa elimu ya hamasa juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa akisisitiza kuwa ni  haki yao kushiriki kupiga kura na kuwahimiza kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi .

Peter J.Peter rais wa wanafunzi katika chuo cha uhasibu kampasi ya Singida na Godfrey Mtilabu,Katibu Mkuu wa TAHLISO wamezungumza kwa niaba ya wanafunzi wote kuwa wapo tayari kushirikiana na serikali katika zoezi zima la uchaguzi kwa kuhakikisha wanatoa taarifa yeyote yenye viashiria vya kuvunja amani katika sehemu husika kwa lengo la kutimiza wajibu na haki yao ya kidemokrasia.

"Tutaendelea kuwa waadilifu na wazalendo kwa Taifa letu,vijana hatutakengeuka na kupotoka bali tutakua pamoja daima kudumisha umoja na amani ya nchi yetu."amesema Godfrey.

Sambamba na hilo,wanafunzi wamepata elimu ya afya kutoka Shirika la Mega We Care juu ya ugonjwa wa UKIMWI,afya ya uzazi na matumizi sahihi ya dawa,Pia Mkuu wa Mkoa ameahidi kuanzishwa kwa ligi ya vyuo Mkoani Singida.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.