• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Mabadiliko Makubwa Yaja Mkoa wa Singida – Katibu Tawala

Posted on: November 16th, 2021


Wakazi wa Mkoa wa Singida wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kutokuwa wanyonge kwakuwa wamebarikiwa kuwa na  Mkoa wenye mafanikio makubwa  katika uzalishaji na uinuaji vipato .

Serikali ya Mkoa ina mkakati wa kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kimazingira kwa kupitia uzalishaji katika kilimo ili kuendelea kuwanufaisha wananchi wa Singida.

Akiongea wakati wa kutoa shukurani baada ya kukamilika kwa kikao kazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Social holl Mjini Singida, Katibu Tawala wa Mkoa huo Dorothy Mwaluko, amesema wamejipanga kuondoa uhaba wa mafuta nchini kwa kutekeleza mkakati  wa kuongeza uzalishaji wa alizeti na matumizi ya pembejeo bora za kilimo kwa wakulima.

Dorothy amewakumbusha wananchi wa Mkoa huo kuongeza bidii katika kufanya kazi hasa katika kipindi hiki cha msimu wa kilimo ambapo mazao kama alizeti korosho mkonge na degu vimeendelea kuwa na soko ndani na nje ya mkoa wa Singida.

 

Akiongea kwa niaba ya Makatibu Tawala wa Mikoa ya Dodoma, Simiyu na Manyara, Dorothy amemuahidi Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda kwamba mikoa hiyo imejipanga kutekeleza  kikamilifu mkakati wa kuondoa tatizo la uhaba wa mafuta nchini kwa  kipindi kifupi kijacho.

Aidha Katibu Tawala huyo ameishukuru  Wizara ya Kilimo kwa maamuzi yake ya kuzindulia ugawaji wa mbegu mkoania Singida kupitia mradi unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Kilimo IFAD  katika mkoa wa Singida ambapo utakuwa umeongeza chachu kwa wakulima wa alizeti.

Dorothy amebainisha kwamba mkoa  umepokea tani  252 za  mbegu za alizeti kutoka Taasisi ya uzalishaji wa mbegu za kilimo (ASA) kupitia Wizara ya Kilimo.

Aidha Katibu Tawala huyo akakamilisha salamu zake kwa kuwataka wawekezaji kuwekeza katika mkoa wa Singida ambao unastawisha vizuri mazao kama mkonge korosho alizeti dengu karanga na mtama

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.