• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MAONESHO YA PILI YA SIDO KITAIFA 2019 KUFANYIKA MKOANI SINGIDA

Posted on: September 20th, 2019

Akizungumzia maonesho haya Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, amesema hii ni fulsa kwa wote ambao wanahusika na masuala ya uzalishaji mali na kuongeza thamani kwa bidhaa zetu hapa Tanzania.

Dkt. Nchimbi amesema fulsa nyingine katika maonesho haya ni Wajasiriamali kukutana kwa pamoja na kunufaika na fulsa kubwa ambazo zinatengenezwa na maonesho haya ikiwemo fulsa ya masoko.

“Hapa tutaone teknolojia mbalimbali ambazo zinauwezo mdogo, wa kati na zenye uwezo mkubwa. Tutakutana pia na milango ambayo tulifikiri haipo kumbe ipo kwa ajili ya bidhaa mbalimbali tunazozizalisha kwa kutumia malighafi zetu katika viwanda vyetu” Dkt. Nchimbi 

  

Kwaupande wake Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Bw. Silvester Mpanduji amesema maonesho haya yanatarajiwa kuhudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka ndani ya Tanzania na nchi zaidi ya 6 ili kuonesha teknolojia mbalimbali zinazotumika katika kutengeneza bidhaa mbalimbali kupitia viwanda vidogo, vya kati na vikubwa.

  

Akifafanua zaidi amesema kutakuwa na wajasiriamali kutoka nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Afrika Kusini, Namibia, Kenya, India na China ambapo teknolojia mbalimbali mahususi zitaoneshwa ambazo watu wakiziona watashawishika kwenda kuzitumia na kuanzisha viwanda.

  

Aidha, ametoa wito kwa watanzania kwenda kutembelea ili kuona na kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda vyetu na kusisitiza kuwa sasa ni wakati muafaka kwa Watanzania kutumia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini kwani ni bora na zenye viwango vya juu.

  

Naye Kaimu Mkurugenzi wa masoko na uwekezeji mkoa wa Singida Bi. Shoma Kibende amesema huduma zote za SIDO zitakuwepo wakati wa maonesho ikiwemo ushauri wa kiteknolojia na jinsi ya uanzishaji viwanda na uboreshaji, mafunzo ya kibiashara na ufungashaji ulio bora na utumiaji wa vifungashio.

  

Pia kutakuwa na siku ya kuenzi au kuhamasisha utumiaji wa bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya ndani ya Tanzania pamoja na uhamasishaji wa mazao mbalimbali yakiwemo alizeti, korosho na mazao mengine.

  

Amesisitiza kuwa katika maonesho haya taasisi mbalimbali zitakuwepo ili kutoa huduma ikiwepo Taasisi ya usajili (BRELA) na Taasisi ya Uongezaji Ubora (TBS).


Imetolewa na; 

Kitengo cha Habari na Mawasiliano 

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

SINGIDA

  




Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.