• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MINARA YA MAWASILIANO MANYONI KUBORESHWA KWA TEKNOLOJIA YA 4G

Posted on: October 22nd, 2024

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Jerry Silaa,amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuhakikisha anaupandisha hadhi mnara uliojenga katika kijiji cha Hika kata Makuru wilayani Manyoni ili wananchi waweze kupata mtandao wa intaneti wa 3G hadi 4G.

Ametoa agizo hilo leo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Hika katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tano mkoani Singida baaada ya kuzindua mnara wa mawasiliano ya simu uliojengwa na serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) uliojengwa kwa Sh.milioni 272.


"Kati ya maelekezo aliyonipa Rais wakati akiniapisha ni kuhakikisha wananchi wanapata mawasiliano, namwelekeza Katibu Mkuu ahakikishe kwa haraka sana mnara huu unapandishwa hadhi na unapata mtandao wa 3G na 4G ili wananchi nao waweze kupata intaneti," alisema

Naye Meneja wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Agustino Mwakyembe amesema ujenzi wa mnara huo wenye urefu wa mita 60 ulianza kufuatia kusainiwa kwa makubaliano Machi 16, 2021 na ujenzi wake kukamilika Juni 15, 2022.

Amesema mradi huo wenye thamani ya Sh.milioni 272 unatumia teknolojia ya 2G ambao unawezesha wananchi kupiga na kupokea simu za sauti huku wakitumia ujumbe mfupi kwa wakati mmoja (sms).

"Kama sehemu ya dhamira yetu ya kimkakati ya kuimarisha muunganisho katika maeneo ya vijijini tunafanya uboreshaji mkubwa wa minara ya mawasiliano inayofanya kazi sasa kwenye teknolojia ya 2G hadi 4G," alisema.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, amesema uzinduzi wa mnara huo ni muhimu sana katika kata ya Makuru na Wilaya ya Manyoni katika kukuza maendeleo na upatikanaji wa huduma muhimu kama vile elimu,afya na biashara na hivyo kukuza maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Mhe.Dendego amemuahidi Waziri kuwa umeme utafikishwa katika mnara huo ili uendelee kufanya kazi kwa ufanisi huku wananchi zaidi ya 24,000 wa eneo hilo wakitegemea kunufaika

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.