• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MITUNGI GESI KWA BEI YA RUZUKU YAWAFIKIA WANASINGIDA

Posted on: March 7th, 2025

Jumla ya mitungi ya gesi ya Nishati safi ya kupikia elfu ishirini na tisa (29,000/=) imetolewa kwa bei ya ruzuku leo, Majiko hayo yakiwa ni mwanzo wa kwenda kufikia kaya zote za Mkoa wa Singida takribani kaya laki tatu na nusu .

Majiko hayo yametolewa leo katika kilele cha siku ya Mwanamke duniani ambapo Mkoa wa Singida wameadhimisha leo kimkoa katika uwanja wa Bombadia ulipo Manispaa ya Singida na Mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego. 

Mheshimiwa Dendego amesema kuwa Wizara ya nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika mpango wake wa upatikanaji wa Nishati safi Vijijini wametoa majiko hayo ikiwa ni maelekezo ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa nishati safi, lengo lake ni kuhakikisha kaya zote zinapata nishati safi ya kupikia.

Amesema kuwa Majiko hayo ni ya kilo sita ambapo dukani yanauzwa kati ya shilingi elfu arobaini mpaka elfu arobaini na tano lakini yameuzwa kwa ruzuku ya elfu ishirini na mia nane ,(20,800)ambapo baada ya majiko hayo yatasambazwa katika halmashauri zote mkoani Singida na kuwafikia wananchi wote wa mijini na vijijini.

Akizungumza baada ya kupata mtungi wa gesi leo,Amina Mwaju mkazi wa wilaya ya Iramba ameonyesha kufurahia kupata nishati safi hiyo kwa bei ya riziki ambayo anasema kubwa hakutegemea angepata kwa bei nafuu.

"Kwa kigezo cha kuwa na kadi ya NIDA pekee ,leo nimekuwa miongoni mwao wanufaika wa kutumia nishati safi kwa gharama ndogo sana ambayo mwanzoni nilishindwa kuipata kwa sababu ya gharama kubwa juu,lakini sasa nimefurahi kwani itanisaidia kwa mambo mengi hususani kupika kwa muda mfupi huku nikipata muda mwingi katika uzalishaji rasilimali nyingine tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo nikitumia kuni"amesema Bi Mwaju.

Kilele cha maadhimisho ya siku ya Mwanamke kimkoa wa Singida yamefanyika leo 7/3/ 2025 ambapo yalianza na maandamano kutoka ofisi ya mkuu wa Mkoa na kuelekea katika uwanja wa Bombadia ambapo maonyesho na Burudani mbalimbali zimefanyika pamoja na ugawaji wa tuzo huku Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa wanawake wa Singida, lengo la siku hii likiwa ni kufurahia ,kutathimini na kupongeza juhudi za kujikwamua kiuchumi na kimaendeleo kwa ujumla kwa Wanawake.

Lengo la Siku ya Mwanamke duniani  kuadhimishwa rasmi tarehe 8 Machi kila mwaka  ni kutumika kama siku rasmi ya kuikumbusha dunia juu ya haki za wanawake.Siku hii pia huongeza chachu katika harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwa wanawake na wanaume katika jamii.

Kwa mwaka huu siku ya Mwanamke duniani kitaifa itafanyika Mkoani Arusha Machi 8,2025 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na Kauli mbiu ya Mwaka huu ni "Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki,Usawa, na Uwezeshaji,"

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.