• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MNARA WA MAWASILIANO KUCHOCHEA MAENDELEO IRAMBA:DKT MGANGA

Posted on: March 16th, 2025

Kijiji cha Mbelekyesye kilichopo Wilayani Iramba Mkoani Singida kimeendelea kunufaika na mawasiliano ya uhakika yenye tija katika nyanja za kiuchumi kutokana na uwepo wa mnara wa mawasiliano kijijini hapo

.                   Hayo yameshuhudiwa leo baada ya Kamati ya Bunge kufika kukagua ujenzi na utendaji kazi wa mnara huo uliojengwa na mtandao wa Yas kwa ruzuku ya Tshs 124,235,000 kwa usimamizi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Umma UCSAF.

Akizungumza katika hafla hiyo,Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt.Fatuma Mganga amesema uwepo wa mnara huo utarahisisha mawasiliano baina ya watu,lakini pia huduma za kifedha zitakua rahisi sana kwani wananchi watakua huru kufanya miamala ya kifedha katika benki tofauti bila kutembea umbali mrefu kufika kwa mawakala au katika mashine za ATM.

Kadhalika,ameomba ushirikiano kutoka kwa wananchi kwa kuhakikisha mnara huo unatunzwa vizuri katika kuhakikisha unadumu ili kutoa huduma nzuri kwa jamii.

Naye Mbunge wa Busega,Simiyu ametoa pongezi kwa wananchi wa Mbelekyese kwa utayari wao wa kutoa eneo la kuujenga mnara huo ambao utakwenda kuwa nguzo kuu katika nyanja ya mawasiliano.Pia ameshauri uwepo wa mitandao mingine katika mnara huo mmoja kwa lengo la kukidhi mahitaji ya wananchi ambao wanatumia mtandao zaidi ya mmoja 

Hamady Nkungu,mkazi wa Kijiji cha Mbelekesye wilayani Iramba ameonyesha kufurahia kuzinduliwa kwa mnara huo ambao amesema unakwenda kuchochea maendeleo ya wananchi kiuchumi ambapo hapo awali yalikua ya taabu na kuzorotesha maendeleo yao ikiwemo kukosa masoko ya bidhaa zao mbalimbali za kilimo na ufugaji.

               "Kwa sasa imekua rahisi kupata wateja wa mazao na mifugo yetu kwasababu mawasiliano ya uhakika yanatoweka karibu sana na wanunuzi tofauti na hapo nyuma ambapo tulitumia muda mwingi kutafuta wateja na kutumia muda kidogo katika shughuli za uzalishaji mali"amesema Nkungu.

Kuzinduliwa kwa mnara huu ni utekelezaji wa kujenga minara mingine 758 hapa nchini ambayo itawasaidia wananchi  kuingia katika mfumo wa uchumi wa kidigitali.Lengo likiwa ni kupata taarifa muhimu za kukuza uchumi kama vile taarifa za pembejeo za kilimo na mifugo na mengineyo.


Kwa taarifa zaidi(video) tembelea kiungo kifuatacho;

https://youtu.be/nwSJfviccoM?si=P9RmMnwkt73yY4x_


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.