• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Mradi wa Shule Bora waweka vipaumbele kwa mwaka 2023

Posted on: February 14th, 2023

Programu ya Shule Bora imewakutanisha Maafisa elimu Sekondari na Msingi ngazi za Wilaya ili kujadili mipango na mikakati ya Utekelezaji wa programu hiyo baada ya kukamilisha mwaka mmoja.

Akifungua kikao hicho Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Singida kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mwl. Eva Mosha amewataka viongozi hao kuweka mipango inayotekelezwa na yenye mrejesho ili kuisaidia  kuinua kiwango cha elimu kwa wanafunzi wa Mkoa huo.

Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Singida Mwl. Eva Mosha akifungua kikao hicho.

Aidha amewakumbusha wajumbe wa Mkutano huo kuhakikisha kwamba mipango hiyo inasaidia kutatua changamoto za ufundishaji na ujifunzaji pamoja na ujumuishaji wa wanafunzi wenye mahitaji maalum na watoto wa kike.

Kwa upande wake Mratibu wa Programu hiyo Samweli Daniel amewaomba  waratibu wa elimu ngazi ya Kata pamoja na wakuu wa Shule katika Mpango wa utekelezaji kwa mwaka huu waimarishe usimamizi ili kuleta mabadiliko ya ufaulu.

Mratibu wa Programu ya Shule Bora Mkoani Singida Samweli Daniel, akizungumza wakati wa kikao hicho.

Amesema imebainika kwamba shule nyingi zinashindwa kufanya vizuri kwa kuwa usimamizi unalega lega hivyo ukipata usimamizi madhubuti utaleta matokeo chanya.

"Yupo Mkuu wa Shule  kutoka Wilaya ya Mkalama ambaye alihamishwa kutoka shule ikiwemo ambayo ilisifiwa kufanya vizuri na kuonekana shule iliyokuwa inafanya vibaya sana lakini matokeo ya hivi karibuni nayo imekuwa kinara hii inatokana na usimamizi mzuri" alisema Mratibu.

Hata hivyo wajumbe hao wamepanga mambo mengi ya kuimarisha elimu yakiwemo kuimarisha upatikanaji wa chakula mashuleni, kuhakikisha uwepo wa miongozo mbalimbali kwa wakuu wa shule  kuendeleza Mafunzo ya walimu kazini pamoja na kuhamasisha wazazi na viongozi mbalimbali kuhakikisha watoto wanaadikishwa katika elimu husika.

Warsha hiyo itafanyika kwa muda wa siku mbili na iliwahusisha Maafisa elimu, Maafisa mipango, Maendeleo ya jamii na walimu wa shule maalum.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.