• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Muongozo wa uendeshaji wa mashamba ya korosho utaongeza tija katika uzalishaji - Kemilembe.

Posted on: May 19th, 2023

Muongozo wa uendeshaji wa mashamba ya pamoja ya korosho Wilayani Manyoni Mkoani Singida umetolewa rasmi (block farm) ili kuongeza usimamizi na ubora wa zao hilo na tija iliyokusudiwa.

Muongozo huo umezinduliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Kemilembe Lwota wakati alipokutana na wadau wa zao la Korosho wa Mkoa wa Singida lengo likiwa ni kuupitisha na kuuzindua kwa ajili ya uendeshaji wa mashamba hayo.

Aidha DC Kemilembe amesema muongozo huo utasaidia kutatua changamoto ya usafishaji wa mashamba, na utoaji wa huduma za ugani kwa kila mkulima atalazimika kufuata utaratibu uliopo kwenye muongozo.

 "Leo tutaupitia muongozo wetu wa mashamba ya korosho ambao utasaidia kuhudumia na kusimamia mashamba hayo hasa kusafisha na huduma za ugani" DC Kemilembe.

 Naye Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho, Fransis Alfred ameushukuru uongozi wa Wilaya kwa kusimamia kikamilifu uwekezaji wa  mashamba ya korosho ambapo amesema kwa mwaka jana wateja wa korosho za Manyoni walisifia kwa ubora na utamu ulizonazo.

Mkurugenzi huyo amesema Bodi imejenga Ofisi na kuweka watumishi Wilayani Manyoni na kuwapatia vitendea kazi kama pikipiki ambazo zitawasaidia kuyafikia mashamba mengi na kutoa huduma za ugani kwa weledi zaidi.

Aidha amewataka wakulima wanaoishi nje ya Wilaya ya Manyoni kuweka vibao vinavyotambulisha majina ya wamiliki pamoja na namba za simu ili maafisa ugani hao waweze kuwasiliana nao kwa ajili ya kuwapa ushauri.

"Tumejenga Ofisi katika mashamba ya pamoja na kuweka watumishi ambao tumewapatia pikipiki ili waweze kutoa huduma kwa wakulima wa Manyoni, Itigi na Ikungi, hata hivyo tunawaomba wakulima wa nje ya hapa kuweka vibao na namba zao za simu ili wataalamu wetu waweze kuwashauri " Fransis

Hata hivyo Mkurugenzi amesema wamejipanga kufanya mnada wa korosho ambapo wakulima wanazo kilo 23,000 sawa na Tani 23 ambapo zitauzwa kwa njia ya mnada.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manyoni, Heri Kaombwe amesema bado Serikali imeendelea kusafisha mashamba hayo na kuyasajili Wizara ya Ardhi ambapo kila mkulima atahitajika kwenda kuchukua ankara zao katika Ofisi hizo.

Hata hivyo amebainisha kwamba baadhi ya changamoto bado zinayakumba mashamba hayo yakihusisha  miundombinu mibovu ya barabara ambapo ameeleza kwamba jitihada za kutengeneza zinaendelea.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.