• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RAS Dkt. Fatma atembelea kambi ya Mashindano ya UMITASHUMTA, Mwenge Singida

Posted on: May 25th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga hivi karibuni ametembelea kambi ya vijana wa shule ya msingi iliyopo shule ya Sekondari Mwenge ambapo wanaendelea na mashindano ya UMITASHUMTA yanayoshirikisha michezo ya mpira wa miguu kwa wanawake na wanaume, kikapu mpira wa Pete, riadha, kwaya, ngoma na mingineyo.

Akiwa uwanjani hapo RAS amewataka viongozi, wahudumu wa afya na makocha wa timu hizo kuendelea kuwasimamia wanafunzi hao waweze kufanya vizuri katika michezo na kuweza kuwakilisha vyema katika mikoa mingine watakapo chaguliwa.

Aidha ameahidi kwa wale watakaochaguliwa kuendelea na mashindano kwa hatua za mbele kwamba Serikali ya Mkoa wa Singida itaendelea kutoa ushirikiano mkubwa huku akiwakumbusha kwamba wahakikishe wanashinda michezo yote.

"Serikali itaendelea kuwaunga mkono na kuhakikisha ina vilea na kuviendeleza vipaji mlivyo navyo, muhimu ni kujitahidi mtakao tuwakilisha huko mikoa mingine mrudi na ushindi mkubwa”Dkt. Mganga

Kwa upande wake Afisa michezo wa Mkoa, Amani Mwaipaja katika taarifa yake amesema mashindano  yanayoendelea katika viwanja vya shule ya Sekondari Mwenge iliyopo Singida mjini yalianza ambayo tarehe 23 hadi 26 Mei, 2023 na kambi ya mkoa itaendelea kwa muda wa siku 6 kuanzia tarehe 26 hadi 31 Mei, 2023.

Hata hivyo Afisa Michezo huyo ameeleza kwamba kwa sasa wanaendelea kujipanga na safari ya kuelekea Tabora ambapo mashindano ngazi ya Taifa yatafanyika kuanzia tarehe 2 Juni, hadi 13, 2023.

Aidha alifafanua kwamba kutakuwa na mashindano ya UMISSETA yatakayoanza Juni 6, hadi Juni 9, na kambi ya mkoa tarehe 10 hadi 13 Juni, safari ya kuelekea Tabora itakuwa 14 Juni, na mashindano ngazi ya Taifa yataanza tarehe 15 Juni hadi tarehe 26 Juni, 2023 na kurejea tarehe 27 Juni.

Mashindano haya kwa mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu isemayo “Uimarishaji wa Miundombinu ya Elimu Nchini ni chachu ya Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo”.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.