• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SERUKAMBA ATANGAZA MSAKO WA KUKAGUA MIRADI BILA KUPANGIWA

Posted on: October 26th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba ametangaza rasmi msako wa kutembelea miradi yote ya  maendeleo inayotekelezwa na Serikali katika Mkoa huo kwa lengo la kujiridhisha na utekelezaji wa miradi hiyo bila kuchaguliwa mradi wa kukagua.

Mkuu huyo wa Mkoa wa Singida amesema hayo jana tarehe 25 Oktoba, 2023 mara baada kuhitimisha ziara yake ya ukaguzi wa miradi katika Wilaya ya Singida, hatua hiyo ya kutembelea mradi mmoja baada ya mwingine kila Wilaya ni kutaka kuhakikisha utekelezaji wa miradi hiyo unafanyika kwa kiwango kinachotakiwa pamoja na ubora kwa thamani ya fedha iliyotolewa katika mradi husika ili wananchi wapate huduma bora na ya kiwango kinachostahili.

Akizungumza na Watendaji wa Mkoa huo Serukamba amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imekuwa ikitoa fedha nyingi na kwa wakati kwa ajili ya maendeleo hivyo ni lazima ikatekelezwa kwa muda uliokusudiwa kwa manufaa ya Watanzania.

"Nitangaze kuwa baada ya wiki moja nitaanza ziara ya kutembelea mradi mmoja baada ya mwingine na sitahitaji kupangiwa ni mradi gani wa kutembelea nitahakikisha nafika kwenye kila mradi ambao unatekelezwa na nitatembelea miradi yote katika Halmashauri zote za Mkoa wa Singida”

"Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa huu na Waandisi hakikisheni mnajipanga vyema ni lazima miradi yote itekelezwe kwa wakati na nyie Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Waandisisi nawaeleza msipende kukaa maofisini na kusubiria taarifa fikeni kwenye maeneo ya kazi kwa lengo la kuona kazi zinaendeleaje”

"Na wakati mwingine siyo kufika tu na kukagua kagua na mpango kazi wa Mkandarasi anayefanya kazi na ikitokea ukarudi ukakuta hajatekeleza makubaliano unaweza kubadilisha Mkandarasi mwingine na mafundi wengine lengo kubwa ni kazi kufanyika kwa kiwango na kwa ubora unaohitajika ili ikamilike kwa wakati" ameeleza Serukamba.

Hata hivyo Mkuu huyo wa Singida ameeleza kuwa kwa hatua ya sasa miradi ya afya inaendelea vizuri na inaridhisha lakini miradi ya elimu inatakiwa kuharakishwa zaidi na ifikapo mwezi Desemba mwaka huu iwe imekamilika kwa lengo la wanafunzi watakaoingia shule ya awali na kidato cha kwanza wawe na uhakika wa miundombinu yote ya shule.

Singida ni kati ya Mkoa ambao umepokea fedha nyingi za miradi ya maendeleo na ni miongoni mwa Mikoa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.

Mwisho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.