• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba awasihi Walimu na Wazazi kusimamia maadili ya watoto wao ili kujenga viongozi bora wa baadae.

Posted on: April 25th, 2023

Walimu na Wazazi Mkoani Singida wameaswa kuyaangalia upya na kuyasimamia maadili na nidhamu kwa wanafunzi ili kupata wazazi na viongozi bora wa baadae kwa manufaa yao na wengine.

Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba alipokuwa akihutubia umati wa watanzania waliohudhuria Kongamano la kuelekea siku ya kiliele cha Muungano lililofanyika katika ukumbi wa Social Katoliki uliopo mjini Singida.

Serukamba amesema wanafunzi wengi wanaonekana kutokuwa na uvumilivu wa changamoto zozote zinazowakuta katika safari zao za maisha hivyo akaeleza kwamba kwa mtazamo wake ni vigumu kwa mwanafunzi asiyekuwa na uvumilivu kufika mbali ki masomo huku akibainisha kwamba yeyote aliyefanikiwa ki elimu ilitokana na kuwa na uvumilivu.

Aidha amesema maadili ya vijana yamekuwa yakiporomoka siku hadi siku huku akitolea mfano wa baadhi ya wanafunzi wa shule za Sekondari ambao kwa sababu sizizofahamika waliamua kuondoka kwenye mdahalo wakati walimu wao na wageni wengine angali wakiwepo.

"Mtu asiyependa historia ya nchi yake ni mtumwa, tupo hapa kujifunza na kuelewa historia ya Muungano wetu, nilitarajia kwa uwingi wa wanafunzi waliokuwepo toka mwanzo ungeendelea hadi mwisho kwa kuwa ni sehemu ya masomo yao lakini naona idadi yao imeendelea kupungua huu ni ukosefu wa maadili" alisema RC Serukamba.

Amewataka wazazi na walimu kwa pamoja kuendelea kuwafundisha na kuyasimamia maadili ya vijana wote kwa ujumla ili kujenga kizazi chenye maadili ili kupata viongozi na Wazazi bora wa baadae.

Ametoa wito kwa wanafunzi  kusoma kwa bidii na kuwataka kujifunza lugha zaidi ya moja ili iwe rahisi kwao kupambana na soko la ajira badala ya kutumia lugha ya kiswahili pekee kama baadhi yao walivyohoji wakati wa mdahalo kuhusu kiswahili kuwa  lugha ya kufundishia na ujifunzaji.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba akihutubia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika kongamano la maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika 25/4/2023 ki mkoa katika ukumbi wa mikutano Social Katolika Mjini Singida.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Fatma Mganga akizungumza na wananchi katika kongamano la maadhimisho ya sherehe za Muungano. 

Kongamano la maadhimisho ya Muungano likiendelea

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.