• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba awataka Wakurugenzi wa Halmashauri kukamilisha miradi ya boost kwa wakati na viwango.

Posted on: April 24th, 2023

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanasimamia kikamilifu shughuli za ujenzi wa vyumba vya madarasa chini ya mradi wa boost ambapo amesema ifikapo tarehe 4 Aprili, 2023 apate taarifa ya utekelezaji ujenzi ulipofikia.

Maelekezo hayo ameyatoa leo tarehe 24.04.2023 wakati alipokutana na Wakurugenzi wa Halmashauri zote pamoja na maafisa elimu wa Wilaya kujadili hatua mbalimbali zilizofikiwa katika miradi hiyo.

Amesema ifikapo tarehe 30.5.2023 kila Halmashauri iwe imekamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa  huku akiwakumbusha kuhakikisha wanaanza kutafuta madawati kwa ajili ya vyumba hivyo pamoja na ujenzi wa vyoo.

Aidha, kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga amewataka Wakurugenzi hao na wahandisi kuhakikisha katika ujenzi wa vyumba hivyo wakikishe kinapatika ofisi kwa ajili ya walimu ili kuepusha utaratibu wa kutoa chumba cha darasa kutumika kama ofisi.

Hata hivyo amewataka wahandisi wa Mkoa na Halmashauri kuhakikisha miradi hiyo inasimamiwa kikamilifu na kuhakikisha madarasa yanawekwa sakafu za marumaru.

Pamoja na mambo mengine amewataka Makatibu Tawala wasaidizi ambao ni walezi wa Halmashauri kuhakikisha wanasaidia kutoa miongozo ili kufanikisha zoezi hilo kwa wakati.Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba (katikati) akiteta jambo na Katibu Tawala Mkoa Dkt. Fatma Mganga (kushoto) pamoja na Afisa Elimu Mkoa Dkt. Elpidius Baganda wakati wa kikao hicho.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi. Aika Mathawe (kulia) akitoa taarifa ya ujenzi wa vyumba vya madarasa chini ya mradi wa boost kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba wakati wa kikao hicho.

Kikao kikiendelea

 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.