• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SERUKAMBA - SITAKI KUONA FEDHA ZILIZOLETWA SINGIDA ZA KUTEKELEZA MIRADI ZINARUDISHWA SERIKALINI BAADA JUNI 30

Posted on: May 17th, 2023

MKUU wa Mkoa Singida, Peter Serukamba, amehitimisha ziara yake ya siku mbili kwa kutembelea miradi 30 katika Wilaya ya Iramba na kutoa agizo mahsusi kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhakikisha ifikapo Juni 20 mwaka huu iwe imekamilika ili fedha zisije zikarudishwa serikalini.

Akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Kyala leo (Mei 17, 2023) ambako alizindua mradi wa umeme uliotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) na kufanya majumuisho ya ziara yake, amesema hataki kuona fedha zilizoletwa na Serikali Kuu katika mkoa huu kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo zinarudi serikalini baada ya mwaka wa fedha kumalizika.

"Ifikapo Juni 30 Serikali huwa inachukua fedha ambazo hazijatumika, sisi wakuu wa mikoa tunayo maelekezo mahsusi kutoka kwa Waziri Ofisi ya RAIS, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) tunahakikisha fedha hizi hazirudi maana yake tuhakikishe miradi hii inatekelezwa," alisema.

Serukamba amesema katika ziara yake wilayani Iramba amejifunza upande wa Halmashauri na Serikali watendaji wanatakiwa kuisimamia kwa karibu sana miradi inayotekelezwa badala ya kuwaachia walimu na wananchi pekee yao waisimamie.

"Kwenye 'project management' lazima muwe na 'culture' ya kusimamia miradi hii kwani Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya maendeleo hivyo itakuwa jambo la ajabu tusiposimamia tukaacha isikamilike kwa wakati," amesema.

Aidha, Mkuu wa Mkoa aliwahimiza wananchi kutunza miundombinu ya umeme na kulipa ankala kila mwezi ili kuiwezesha Wakala wa Umeme Vijijini (REA) pamoja na Shirika la Ugavi Umeme Nchini (TANESCO) ziendelee kutoa uduma bora na za uhakika kwa wananchi.

Katika miradi 12 aliyoitembelea leo Mkuu wa Mkoa hakuridhishwa na kasi ya ujenzi shule mpya za msingi za Kibululu na Nselembwe na kuwaagiza walimu wakuu wa shule hizo wanapobaini mafundi kama ndio kikwazo wasisite kuwaondoa na kuweka wengine.

Aliwataka madiwani, viongozi wa vijiji na kata kuwahamasisha wananchi waweze kushiriki katika ujenzi wa miradi hiyo.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Gunna Maziku, alimhakikishia Mkuu wa Mkoa kwamba yeye na viongozi wenzake watahakikisha wanaisimamia miradi hiyo na kukamilika ifikapo Juni 20 mwaka huu kama alivyotoa maelekezo.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.