• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SINGIDA ATOA ONYO KWA WATAKAOPOTOSHA JAMII KUHUSU CHANJO YA WATOTO

Posted on: October 18th, 2019

SERIKALI  mkoani Singida, imesema haitomvumilia mtu au watu watakaosambaza taarifa potovu zenyelengo la kukwamisha zoezi la chanjo lililoanza mkoani hapa  nalinatarajia kumalizika Oktoba 21 mwaka huu.

Mkuuwa mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi, ametoa onyo hilo wakati akizindua kampeni ya chanjo shirikishi ya Surua – Rubella iliyofanyika Oktoba 17, 2019 kimkoa Itigi wilayani Manyoni.

Alisema chanjo ya Surua – Rubella ni chanjo inayolenga kuwakinga watoto dhidi ya upofu, kutokusikia (kiziwi). Mtindio wa ubongo na ulemavu mwingine.

Amesisitiza  kuwa chanjo hiyo ni muhimu sana kwani magonjwa hayo hayana tiba.

“Naagiza watendaji wa vitongoji na kata, wasimamie chanjo hii ambayo inalenga watoto wenye umri kuanzia miezi tisa hadi ambao hawajafikisha miaka mitano. Watu watakaopotosha kwa lengo la kukwamisha chanjo hii wakamatwe na wachukuliwehatua stahiki”, 

“Ninyi wazazi siyo wageni wa huduma hizi za chanjo. Mmekuwa mkishuhudia watoto wenu wakipata sindano mbili hadi tatu kwa wakati mmoja. Huduma za chanjo ni zakawaida. Jukumu lenu ni kuhakikisha mnawafikisha watoto kwenye vituo vyakutolea chanjo”. amesema

Aidha, Mkuu huyo wa mkoa, amewataka wazazi kuhakikisha watoto wao wa kike wenye umriwa kuanzia mika 14, wanapata chanjo mbili zitakazowakinga dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi.

Alisemakwa mujibu wa wataalamu, maambukizi ya saratani ya mlango wa kizazi, yameenea sana nchini, hivyo ni lazima tuhakikishe tunakuza jamii iliyokingwa kuanziasasa.

Awali, Mganga mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Victoria Ludovick, alisema jumla yawasichana 12,99 wenye umri kuanzia miaka 14 walipata chanjo ya kwanza dhidi yasaratani ya mlango wa kizazi kati ya Januari hadi Agosti mwaka huu.

Alisema  kati ya wasichana hao 6,724, wamefika kukamilisha  dozi ya pili ambayo nisawa na asilimia 51.7. Wasichana 6,275 hawakukamilisha dozi hiyo.

“Ikumbukwe kuwa, kinga kamili hupatikana baada ya kukamilisha dozi zote mbili. wananchi watambue kuwa Serikali inawekeza gharama kubwa, ili kuwakinga wasichana hawadhidi ya saratani ya mlango wa kizazi. Hivyo kuna umuhimu mkubwa wazazi kuhakikisha watoto wao, wanapata chanjo zote mbili”,amesisitiza.

Kwa mujibu wa Dkt. Ludovick jumla ya watoto 225,586 wanatarajiwa kupata chanjo yasurua Rubella. Watoto wengine 119,198 wanatarajia kupata chanjo dhidi yaugonjwa wa Polio kwa  njia ya sindano.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.