• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Singida awataka Wakuu wa Wilaya kutatua changamoto za wananchi

Posted on: February 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewataka Wakuu wa Wilaya waliotambulishwa Mkoani hapo leo kwenda kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi katika maeneo yao ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Serikali.

Kauli hiyo ameitoa leo wakati akihutubia Wakuu wa Wilaya wanne wa Wilaya ya Iramba, Ikungi, Mkalama na Manyoni katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa walipokuwa wakitambushwa rasmi ambapo aliwaeleza kwamba Mkoa huo una migogoro ya ardhi ambapo mingi ipo Wilaya ya Manyoni.

Amesema namna pekee ya kutatua changamoto hiyo ni kuimarisha ushirikiano baina ya viongozi na wananchi na kudhibiti vitendoo vya rushwa ili kuwapatia haki kwa kila anaye stahili.

Aidha RC Serukamba amewataka kusimamia swala la mapato kwa kuwa bado inaonekana uwepo wa  mianya ya uvujishaji wa fedha za Serikali,  ambapo ameelekeza kufanywa uchunguzi wa kina katika Biashara "services levi" minadani na leseni za biashara kwani huko ndipo penye upotevu.

Wapo wafanya biashara ambao hawatoi stakabadhi wanapofanya mauzo, wengine wanaandika risiti pasipo kuweka "carbon" hivyo kukosekana kwa kumbukumbu wanapo kaguliwa na TRA." alisema

Hata hivyo amewataka Wakuu hao kwenda kusimamia kilimo ili wakulima waendelee kuongeza eneo la kulima huku akibainisha kwamba Mkoa wa Singida umekuwa Mkoa wa pili kwa kuongeza eneo la kilimo ukiondoa Mkoa wa Morogoro.

Akimalizia hotuba yake RC Serukamba amewataka kuhakikisha wanasimamia jukumu la upandaji miti katika kingo za barabara, vyanzo vya maji, mashuleni na majumbani kwa kupitia wanafunzi wanatakiwa kugawiwa miche minne kwa kila mtu.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Martha Mlata akizungumza wakati wa hafla ya kuwatambulisha Wakuu wa Wilaya za Halmashauri Mkoani Singida.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa hafla hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Kemilembe Lwota, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Joshua Nassari, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Moses Machali, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Picha ya pamoja

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.