• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SERIKALI KUU YAMWAGA FEDHA ZA MIRADI MANISPAA YA SINGIDA

Posted on: May 16th, 2025

Ukaguzi wa miradi katika Manispaa ya Singida umefanyika leo Tarehe 16 Mei,2025 chini ya usimamizi wa Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego ambapo miradi hiyo inajumuisha miradi iliyopata fedha kutoka Serikali kuu na kutoka katika mapato ya ndani.

Mradi wa Barabara ya Mungumaji inayojengwa na TARURA yenye urefu wa mita 700 iliyopo katika eneo la Majengo.Mradi huu wenye thamani ya Shilingi 659,059,882.25 unajengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu na unatarajiwa kuwekwa Jiwe la Msingi Mwezi Julai katika Mbio za Mwenge.

Majengo ya huduma za Afya mradi unaosimamiwa na Idara ya Afya uliopo eneo la Mandewa linajumuisha jengo la ICU,EMD,na Oxygen Plant mradi ambao unatekelezwa na fedha kutoka Serikali Kuu.

Kadhalika ukaguzi umefanyika katika ujenzi wa Mabwawa ya kutibu Majitaka yakiyopo katika eneo la Mtipa lililogharimu kiasi cha Shilingi  1,730,606,000 fedha kutoka Serikali Kuu.

Mradi wa ujenzi wa Shule ya Amali katika eneo la Unyambwa inayogharimu kiasi cha Shilingi 1,400,000,000 fedha kutoka Serikali Kuu ambayo inatarajiwa kuwekwa jiwe la Msingi katika Mbio za Mwenge Julai.

Pia Jengo jipya la Ofisi za Manispaa lililiofikia asilimia 60 katika ujenzi limekaguliwa huku ujenzi ukiendelea linatarajiwa kukamilika Juni 30,2025.Ujenzi wa jengo hilo unagharimu kiasi cha Shilingi 3,200,000,000 baada ya kupokea fedha kutoka Serikali Kuu.

Katika kuimarisha huduma za afya,ujenzi wa jengo la huduma ya mama na mtoto Unyamikumbi unaendelea ambapo unatekelezwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri kwa Shilingi 50,000,000

Kikundi cha Vijana kilichopata Mkopo wa Asilimia Kumi kutoka Serikalini,Florida Alluminium and Welding Association Group katika kata ya Majengo kilitembelewa kufahamu maendeleo yake mara baada ya kupata Milioni 15 na kuanzisha biashara yao ya utengenezaji wa Aluminium.

Akizungumza baada ya ukaguzi wa jengo la Halmashauri,Katibu Tawala Mkoa wa Singida Daktari Fatuma Mganga alishauri umaliziaji wa wakati wa marekebisho madogo yakiyosalia katika ujenzi wa Jengo la Halmashauri sambamba na uwekaji wa samani za Ofisi zenye viwango bora.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Dendego baada ya kukagua soko la vitunguu na eneo ka mnada alitoa maagizo ya kuhakikisha kuwa wanaweka maeneo ya jengo la  Hospitali kwa kuhakikisha wanapanda miti na maua kuzunguka maeneo hayo.Kadhalika aliagiza eneo la mnada kusafishwa na kuwa safi kwa matumizi ya wananchi

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI WILAYANI ITIGI KUNUFAISHA MAELFU YA WANANCHI.

    May 21, 2025
  • KAMATI YA USHAURI NA KLINIKI YA SHERIA YAZINDULIWA SINGIDA

    May 19, 2025
  • MAGARI MAPYA WILAYANI,UTENDAJI KUIMARIKA!

    May 19, 2025
  • SERIKALI KUU YAMWAGA FEDHA ZA MIRADI MANISPAA YA SINGIDA

    May 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.