• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Serukamba atoa angalizo kwa maafisa ugavi Singida

Posted on: June 3rd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida. Peter Serukamba ametoa onyo kwa maafisa ugavi mkoani hapo ambao wamekuwa wakisabisha ucheleweshaji wa miradi  inayotekelezwa kwa ‘force Account’  kwa  kuweka michakato mirefu ya manunuzi ambayo kwa mujibu wa taratibu za mirad hiyo haihusiki.

Onyo hiyo amelitoa hivi karibuni wakati akikagua miradi ya ujenzi wa Vituo vya Afya na Shule vilivyopo Wilayani Manyoni Mkoani hapo ambapo kila alipobaini changamoto yoyote kwenye mradi alitajwa afisa manunuzi kwamba anaendelea na michakato ya ununuzi jambo ambalo RC Serukamba amesema sio sahihi.

Amesema miradi inayotumia ‘force account’ huwa zinaundwa kamati tatu ambazo ni kamati ya manunuzi, ya mapokezi na kamati ya ujenzi ambazo kila moja inashughulikia na kazi yake hivyo haikuwa na sababu ya maafisa ugavi kununua, kuingilia au kuratibu michakato ya manunuzi.

"Afisa manunuzi kwenye miradi hii anahusikaje? kuweka michakato ya ununuzi kwenye miradi hii ni kutupotezea muda na kutafuta faida kwa upande wake, kamati zilizoteuliwa ki sheria zinatosha"

RC Serukamba alitembelea miradi minne ambayo  ni ujenzi wa wodi mbili na mochwari katika hospitali ya Wilaya hiyo, Kituo cha Afya Sanza,  Ujenzi wa shule ya Msingi Nanduka na shule ya msingi Heka ambapo kati ya hiyo ni mradi mmoja tu wa Nanduka ambao hajakutana na changamoto ya ucheleweshaji wa ununuzi wa vifaa vya ujenzi kama mbao na mabati.

Akiwa katika mradi wa ujenzi wa wodi ya wanawake RC Serukamba ameendelea kusema kwamba hatamuonea aibu yeyote atakayesababisha fedha za miradi kurudi huku akiendelea kusisitizia kwamba atawachukulia hatua watakao onekana kuchelewesha mradi kwa hila zao.

MATUKIO KATIKA PICHA

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba (kulia) akisomewa taarifa ya ujenzi wa Kituo cha Afya Sanza wilayani Manyoni wakati wa ziara hiyo.

Baadhi ya wananchi wa Sanza wilayani Manyoni wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba (haonekani pichani) wakati akisomewa taarifa ya ujenzi wa Kituo cha Afya Sanza.

Ujenzi wa wodi mbili na mochwari katika hospitali ya Wilaya Manyoni ukiendelea



Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.