• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

"SINGIDA NI MAHALI SAHIHI PA KUWEKEZA"-RC DENDEGO

Posted on: September 17th, 2025

Serikali ya Mkoa wa Singida imeendelea kuhimiza uwekezaji katika sekta mbalimbali kama njia madhubuti ya kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi. 

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego, amewataka wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo mkoani humo, akisisitiza kuwa Singida ina mazingira bora, salama na rafiki kwa uwekezaji wa aina zote.

Mhe. Dendego amesema kuwa Mkoa wa Singida uko tayari kwa mapinduzi ya kiuchumi kupitia ushirikiano wa karibu kati ya Serikali na sekta binafsi huku asisitiza kuwa Serikali inatoa kipaumbele kwa uwekezaji katika sekta za nishati safi, miundombinu, viwanda, kilimo, biashara na huduma, kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi na kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.

Aidha, alibainisha kuwa uwekezaji katika nishati safi na salama ni sehemu ya ajenda ya maendeleo endelevu ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ameweka mkazo mkubwa katika kuhakikisha huduma za msingi zinafika kwa wananchi kwa ufanisi mkubwa, huku mazingira yakihifadhiwa na gharama za maisha zikishuka

             Mkuu wa Mkoa pia amepongeza kampuni ya Puma Energy kwa kuendelea kuwekeza nchini, akisema kuwa uwepo wao katika Mkoa wa Singida ni ushahidi kuwa sekta binafsi inaamini katika fursa na mazingira ya biashara yaliyopo nchini.

           "Uwekezaji kama huu si tu kwamba unaongeza huduma kwa wananchi, bali pia unaongeza ajira kwa vijana wetu, unachochea mzunguko wa fedha katika jamii, na hatimaye unaleta ustawi wa kiuchumi katika ngazi ya kaya na Mkoa kwa ujumla,” ameongeza.

Kauli hizi amezitoa leo, tarehe 17 Septemba 2025, wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo kipya cha mafuta cha Puma Energy kilichopo katika Kata ya Majengo, Manispaa ya Singida, ambapo alikuwa mgeni rasmi. Katika uzinduzi huo, Mhe. Dendego aliwahimiza wananchi na viongozi wa Serikali kuendelea kuwa sehemu ya mazingira mazuri ya uwekezaji kwa kutoa ushirikiano wa karibu kwa wawekezaji wote.








Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "SINGIDA NI MAHALI SAHIHI PA KUWEKEZA"-RC DENDEGO

    September 17, 2025
  • WAKAGUZI WAFANYA ZIARA MKOANI SINGIDA KUKAGUA MASUALA YA KIUTENDAJI.

    September 17, 2025
  • WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO SINGIDA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIDIJITALI.

    September 06, 2025
  • ELIMU YA WATU WAZIMA -NGUZO YA MAENDELEO ENDELEVU

    September 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.