• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

TAKUKURU WATOA ELIMU KWA WAPIGA KURA NA WAGOMBEA KATIKA UCHAGUZI.

Posted on: September 12th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhe. Godwin Gondwe ametoa wito kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuendelea kutoa elimu kwa wapiga kura, wagombea na wananchi kwa ujumla juu ya majukumu ya taasisi hiyo kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka  2024.

Gondwe ameyasema hayo (Septemba 12, 2024) wakati akitembelea mabanda katika maonyesho ya mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yanayoendelea mkoani Singida katika viwanja vya Bombadia.

"Natoa wito kwa taasisi ya TAKUKURU, kushauri vijana kuhusu suala la uchaguzi na kutoa elimu kwa wapiga kura na wagombea wote juu ya kazi na ushiriki wa taasisi hiyo hasa katika uchaguzi ujao" alisema Gondwe.

Kwa upande wao Taasisi ya Uuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeazimia kuendelea kutoa elimu juu ya rushwa kuendelea kwa kuwashauri vijana, na wananchi wote kwa ujumla kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

TAKUKURU wamesema wanaendelea kutoa huduma kwa kuhakikisha wanazidi kuhamasisha na kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya rushwa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi serikali za mitaa 2024 kwa dhumuni kubwa la kuhakikisha uchaguzi bora na wa haki kwa wapiga kura na wagombea kwa ujumla.

Wamesisistiza kuwa rushwa ni adui wa haki, hivyo ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha hatutoi wala kupokea ili kupata viongozi bora na kudumisha amani iliyopo nchini.

Pia wamewaomba viongozi wa serikali kuwa mabalozi wazuri mitaani na maeneo yao ya kazi kwa kuhakikisha mazingira ya rushwa hayatengenezwi wala kutokea.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.