• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

"Tunzeni miundombinu ya maji na mlipe bili" RC Serukamba.

Posted on: June 5th, 2023

Wananchi Wilayani Ikungi Mkoani Singida wametakiwa kulinda na kusimamia miundombinu ya maji na kulipa bili kwa wakati ili kuimarisha upatikanaji wa huduma ya maji na kuondoa changamoto zilizokuwa zikiwakabili wakazi wa eneo hilo.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba alipotembelea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopo Wilayani hapo ikiwemo miradi ya maji Kituo cha Afya, Shule na Mabweni.

RC Serukamba amesema ni jukumu la kila mtu kuilinda miundombinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kuwasaidia wananchi kama ilivyotarajiwa.

Hata hivyo amewaagiza Viongozi Wilayani hapo kuhakikisha kunapandwa miti kwenye vyanzo vya maji na huku akizitaka kamati za watumia maji kuhakikisha wanakusanya fedha zitakazoweza kusaidia kurebisha miundombinu pindi itakapo haribika.

Kwa upande wake Meneja RUWASA wilaya ya Ikungi Mhandisi Hopeness Liundi amesema Mradi huo uliopo Kijiji cha Iglansoni unahudumia watu wapatao 8619 ambao utasaidia kupunguza muda mrefu uliyokuwa ukitumika na wananchi hao kufuata maji.

Liundi ameeleza kwamba Mradi huo utasaidia kupunguza migogoro kwenye familia iliyokuwa inasababishwa na ukosefu wa maji na kupunguza magonjwa ya kuambukiza yanayosababishwa na matumizi ya maji yasiyokuwa salama katika jamii.

Hata hivyo Meneja huyo ameeleza kwamba Mradi umechangia ongezeko la upatikanaji wa maji Wilayani hapo  kwa asilimia 1.2 kutoka asilimia 60.8 ya awali hadi kufikia asilimia  68 ya sasa.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA WAKATI WA ZIARA HIYO



Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.