• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Ubunifu na Usimamizi kwa Maafisa Elimu kutaboresha Mashule - Dorothy Mwaluko.

Posted on: February 15th, 2023

Watendaji na Maafisa Elimu Kata wametakiwa kuwa wabunifu na kuimarisha usimamizi katika miradi ya Serikali inayotekelezwa katika maeneo yao ili kuharakisha maendeleo kwa wananchi.

Maelezo hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko wakati akiongea na viongozi hao baada ya kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya Afisa Tarafa iliyopo Kata na Tarafa ya Nkonko Wilayani Manyoni.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko baada ya kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya Afisa Tarafa iliyopo Kata na Tarafa ya Nkonko Wilayani Manyoni.

RAS huyo ameeleza kwamba watendaji wanayo nafasi ya kuhimiza wananchi kujitolea nguvu kazi katika kusaidia shughuli za maendeleo ikiwemo ufatuaji wa tofali kwa ajili ya Ujenzi wa vyoo vya shule na usombaji wa mchanga na vifusi.

Amesema  ni vizuri kuishirikisha jamii  katika miradi mbalimbali ili kusaidia upatikanaji na Ujenzi wa vyoo katika mashule ambayo yana upungufu wa matundu ya vyoo katika Kata hizo.

Mwaluko amewahimiza Maafisa Elimu kuhakikisha wanasimamia mashule pamoja na miundombinu yake ikiwemo ujenzi wa vyoo kwa maeneo ambayo yanachangamoto ili wanafunzi wapate utulivu.

Akitolea mfano wa shule ya Msingi Chikola ambayo ilikuwa haina vyoo alisema siku chache zilizopita alitembelea shule hiyo ambapo alimtaka Mkuu wa shule, Afisa Elimu Kata pamoja na Mtendaji kuhakikisha shule inakuwa na vyoo katika kipindi cha wiki mbili tofauti na hivyo angeifunga ambapo mpaka sasa tayari ujenzi wa choo hicho umeshakamilika.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA WAKATI WA ZIARA

Muonekano wa Nyumba ya Afisa Tarafa ya Kilimatinde Wilayani Manyoni

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.