• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Uwanja wa Kisasa wa Mpira kujengwa Singida

Posted on: June 1st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge leo ametembelea eneo linalojengwa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu lililopo Mtipa katika Wilaya ya Singida ili kuona eneo hilo na kusikiliza mipango ya Ujenzi  kutoka kwa Mkandandarasi.

Akiongea akiwa katika eneo hilo RC Mahenge amesema uwanja huo  ukikamilika utakuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wa Singida kwa kuwa watatumia michezo kama sehemu ya ajira na kipato.

RC amebainisha kwamba kutokana na ukweli kwamba  Singida ni katikati ya nchi uwanja huo utaweza kutumiwa na mikoa ya jirani lakini hata wananchi kutoka mikoa hiyo wanaweza kuja kuangalia mpira.

Aidha RC ameagiza Mkandarasi huyo kukutana na Shirika la ugavi wa Umeme Tanesco na Idara ya maji ili waweze kubaliana kila mmoja atakapoweka miundombinu yake ambayo itarahisisha Ujenzi huo kwenda kwa kasi kubwa.

Hata hivyo amebainisha kwamba uwanja huo utakapokamilika utasaidi kuongeza uwekezaji eneo hilo na  kuongeza kipato kwa wanachi kupitia Biashara za hoteli na huduma mbalimbali.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili akamtaka Mkandarasi  kuandaa wasilisho kwa viongozi  ili kuona mchoro ili waweze kuwashawishi wafanyabiashara Kuwekeza maeneo hayo kwa ajili ya kurahisisha huduma nyingine.

DC Muragili akaendelea kumhamasisha Mkandarasi kujitahidi ili  uwanja huo uweze kutumika kabla ya kuisha mwaka huu kwa kuwa kutasaida kufungua fursa nyingine za ndani.

Naye Mkandandarasi wa uwanja huo kutoka Kampuni ya Senga senga civil & building company amesema eneo hilo lina ukubwa wa ekari zaidi ya 10 ambapo kwa sasa  eneo lishafanyiwa usafi na wanajipanga kusawazisha kabla ya kujenga hosteli katika kwa ajili ya wageni.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.