• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Viongozi wa dini mkoani Singida waombwa kusaidia kutoa elimu ya Lishe katika Nyumba za Ibada

Posted on: April 3rd, 2022

Viongozi wa dini mkoani Singida wameombwa kuisaidia jamii ya maeneo hayo kwa kutoa elimu ya Lishe katika Nyumba za Ibada  kwa watoto na mama wajawazito ili kupunguza tatizo la utapia mlo ambalo limekuwa likiwaathiri watoto wa umri wa chini ya miaka mitano kwa kiasi kikubwa mkoani hapo.

Akizungumza katika kikao kazi kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa  huo Kaimu Afisa Tawala Mkoa Beatusi Choaji amesema elimu kuhusu Lishe bado haijatolewa kwa kiasi cha kutosha na maana bado jamii inaathirika na swala la kuacha kula makundi muhimu ya vyakula, hivyo kuwaomba viongozi wa dini kusaidia kutoa elimu hiyo ili kubadilisha  Tabia ya ulaji kwa wananchi hao.

Kaimu RAS huyo amesema kwamba wakulima wa Mkoa wa Singida wanalima vyakula vingi vikiwemo viazi lishe  mahindi maharage na wanaongoza kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji hivyo utapia mlo kwa kiasi kikubwa linaweza kusababishwa na kutowalisha vizuri watoto vyakula na sio kwamba hakuna vyakula.

Amewataka wataalamu wa Lishe mkoani hapo kutumia majukwaa mbalimbali kupeleka elimu ya Lishe kwa wananchi na kuhakikisha  katika Zahanati na vituo vya Afya wanakuwa na utaratibu wa kutoa elimu ya Lishe kwa kuwafuata watu majumbani na sio kuwasubiri Hospitalini wakiwa tayari wameshaathirika.

Akimalizia Kikao hicho Kaimu Katibu Tawala Mkoa akaagiza kuwakutanisha  Maafisa Lishe wa ngazi zote za Wilaya na Halmashauri ili kuja na mikakati mipya ya kupambana na tatizo la Lishe pamoja na kuwekana sawa kwenye zoezi uchukuaji wa takwimu za hatua za mapambano kwenye kutenga na kutumia bajeti zinazotengwa katika Halmashauri hizo.

Mganga Mkuu wa Mkoa Singida (wa kwanza kushoto) Victorine Ludovick, akisoma taarifa ya Lishe wakati wa kikao hicho

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa huo Victorine Ludovick akabainisha kwamba bado changamoto ya umbali kutoka vituo vya Afya na makazi ya wananchi imeonekana kuwa changamoto kwa kuwa wagonjwa wengi wanashindwa kufika vituo vya huduma kwa sababu ya umbali huo.

Hata hivyo amesisitiza kuchukua hatua za  kuongeza mbinu za uelimishaji kwa Jamii ili kuweza kutumia vyakula vinavyopatikana katika maeneo yao na kusaidia kukinga uwepo wa utapia mlo badala ya kujikita katika kutibu.

Kikao hicho kiliwahusisha wataalamu wa Lishe kutoka Sekta binafsi, Sekretarieti ya Mkoa, wawakilishi wa vyombo vya habari na viongozi wa dini.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • SINGIDA INVESTMENT GUIDE February 23, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2022 - MKOA WA SINGIDA December 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA: TUTAJENGA HOJA HOSPITARI YA MAKIUNGU IPANDISHWE HADHI KUWA HOSPITALI YA RUFAA

    August 18, 2022
  • TOENI USHIRIKIANO KWA MAKARANI WA SENSA WAKATI WA KUHESABIWA.- RC SERUKAMBA

    August 17, 2022
  • RC Serukamba, amewataka Makarani na Wasimamizi wa SENSA mkoani hapa kutanguliza uzalendo katika zoezi la SENSA

    August 16, 2022
  • SERIKALI Mkoa wa Singida imetenga Sh.Milioni 342.8 kwa ajili ya kutengeneza shughuli za lishe ambapo ni sawa na Sh. 1,239 kwa kila mtoto wa chini ya miaka mitano

    August 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.