• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wahandisi wa miradi ya maendeleo ikiwemo majengo ya madarasa na vituo vya Afya wametakiwa kuwa wabunifu

Posted on: August 14th, 2022

Wahandisi wa miradi ya maendeleo ikiwemo majengo ya madarasa na vituo vya Afya  Mkoani Singida wametakiwa kuwa wabunifu na kutumia utaalamu wao katika kuwashauri viongozi kufanya miradi hiyo kwa awamu ili kukamilika kwa wakati na kuweza kuleta tija kwa muda mfupi.

Hayo yamesemwa leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Sahili Geraruma wakati wa kuweka jiwe la Msingi katika mradi wa shule ya Sekondari Kitalaka iliyopo Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni.

Gararuma amesema Wahandisi wanayo nafasi ya kushauri katika ujenzi kulingana na kiasi cha fedha zilizopo ili kujenga majengo machache yanayokamilika kwa muda mfupi na yakatumiwa na wanafunzi kuliko kujenga majengo mengi yasiyoisha kwa wakati uliyopangwa.

Amesema  miradi mingi haikamiliki kwa wakati kwa sababu Wahandisi wanashindwa kushauri kulingana na taaluma zao jambo ambalo linachangia miradi hiyo kutokamilika kwa wakati na kujikuta inahitaji muda wa ziada.

"Ukifanya hesabu vizuri utajua kwamba fedha ulizonazo zinaweza kujenga jengo la namna gani au majengo mangapi, unaona una fedha za June majengo matano na unaanza mpango unataka majengo kumi kwa nini usishauri yaanze kujengwa kulingana na fedha iliyopo", aliuliza Geraruma

Amewataka wasimamizi wa majengo hayo kuwa na Mpango kazi ambao utaonesha ni kila kazi na muda wake na itasaidia kujipima wenyewe kama kazi waliojipangia inakamilika kwa wakati.

Aidha akiwa katika kituo cha Afya Mitundu Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru ameagiza viongozi wasimamie misingi na maadili ya kazi zao huku akiwasihi mafundi kukagua vifaa vya ujenzi kabla ya kuvipeleka stoo.

Kiongozi huyu amebainisha kwamba vipo vifaa kadhaa vimepokelewa katika kazi mbalimbali za Ujenzi na kuhifadhiwa stoo wakati ndani yake sivyo vilivyokubaliwa.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.