• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WAHITIMU KUJENGEWA MISINGI YA KUONGEZA UJUZI VYUO VYA VETA SINGIDA

Posted on: February 27th, 2025

Katika kuadhimisha miaka 30 ya Mamlaka ya Chuo cha Ufundi Stadi(VETA) Mkoa wa  Singida umeazimia kuanzisha program maalumu kwa ajili ya wanafunzi wanaomaliza shule za Msingi na Sekondari kusoma VETA kwa wale watakaohitaji ili waongeze ujuzi.

Hayo ameyasema  Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima  Dendego wakati akifunga maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa VETA .

                               Mhe.Dendego amesema kuwa wataandaa program maalumu kwa ajili ya wanaomaliza darasa la saba, Kidato cha Nne na kidato cha Sita wanapomaliza wakati wanasubiria majibu wapate ujuzi kwa miezi sita katika chuo cha VETA.

Katika hatua nyingine amewasisitiza wananchi kuiunga  mkono VETA kwa kazi nzuri wanayoifanya,Pia amewashauri kutumia fursa hiyo kwa kuwatambua na kuagiza watu wenye ujuzi waendelee kuhudumia wanafunzi  kwa kuwapa ajira ndani ya Halmashauri kwa lengo la kuendelea kukuza vyuo hivyo na taaluma za wanafunzi wote wanaonufaika na elimu hiyo.

                    Pia ametumia  fursa hiyo kwa kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya katika miradi ya Maendeleo hasa katika kuongeza idadi ya vyuo vya VETA huku kukiwa  na vyuo vitano vya VETA  kwa mkoa wa Singida.


Sambamba na hilo,amepongeza chuo cha VETA wakiongozwa na Wakurugenzi kwani vijana wanasoma na kupata ujuzi akisema kuwa VETA ni muhimu sana kwani inawezesha idadi kubwa ya wanufaika kuwa na ujuzi ambao unawawezesha  kujiajiri.

                          Awali, Alitembelea ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida, unaosimamiwa na mafundi waliopitia VETA, na kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya kwa ujuzi mkubwa huku akiwasisitizia kuendelea kujifunza zaidi kuongeza ujuzi wao .

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.