• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

"WAKULIMA CHANGAMKIENI MBEGU NA MBOLEA ZA RUZUKU" : DC MACHALI.

Posted on: December 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali ametoa rai kwa wakulima wilayani Mkalama kujisajili katika mfumo ili waweze kupata mbegu na mbolea za ruzuku.

Ameitoa kauli hiyo Leo, Desemba 16, 2024 katika kijiji cha Ilunda Kata ya Ilunda wakati wa hafla ya kumkabidhi  Mshindi wa tuzo Mkulima Bora Kitaifa wa Maonesho ya Nane nane 2024 yaliyofanyika katika viwanja vya Nzunguni Jijini Dodoma 

“Serikali ilianza na mbolea na sasa imeanza kutoa ruzuku kwenye mbegu za Mahindi na Alizeti,wito wangu kwenu nendeni mkajisali ili muweze kupata mbegu kwa bei nafuu” Mhe. Machali

Akizungumzia suala la utunzaji wa Mazingira, Mhe. Moses Machali amewataka wakazi wa kijiji cha Ilunda kupanda miti katika kupambana na uharibifu wa mazingira akiwasihi kupanda miti mingi ambayo itakua chanzo Cha mvua za kutosha .

"Tukiwa na miti mingi tutapata mvua za kutosha na tutakuwa tumetunza mazingira” Mhe. Machali

Aidha Mhe. Moses Machali amewakumbusha wakazi wa Ilunda na Mkalama ujumla kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa Amani, kufanya kazi kwa bidii  pamoja na kujilinda dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo,Suzana Mwakiro amesema tuzo iliyotolewa ni chachu ya Kila mmoja kupambana kuhakikisha kuwa kilimo kinakuwa sehemu ya kumuinua Kila mmoja katika nyanja ya kiuchumi na hata kijamii pia Kwa kuwa chanzo Cha kuwapatia wananchi chakula Cha kutosha.

"Kilimo ni uti wa mgongo wa watanzania,hivyo ni jukumu letu kuhakikisha tunafaidi Matunda yake Kwa kuhakikisha tunazitukua vema  fursa za mbegu na mbolea za ruzuku tunazopewa na Serikali  Kwa mavuno mengi na Bora"amesema Suzana.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.