• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Waliotumia fedha mbichi ya makusanyo ya ushuru wa Halmashauri waanza kuzirejesha

Posted on: November 24th, 2022

Jumla ya Tsh. Milioni 136.1 kati ya Milioni 339.62 zimerejeshwa katika akaunti za Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kutoka kwa wadaiwa (Deforters) ikiwa ni fedha zinazotokana na makusanyo ya mapato kupitia mashine (posi) baada ya Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba kusimamia kidete madeni hayo.

Akiwa katika kikao cha kukutana na wadaiwa hao kilichofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo RC Serukamba aliyeambatana na Kamati ya Mkoa ya ulinzi na usalama aliwataka wadaiwa hao kuwasilisha risiti za malipo benki au fedha taslimu kwa wahasibu waliokuwepo katika ukumbi huo.

Baada ya mahojiano ya muda mrefu kwa kila mdaiwa ilionekana wengi wao walikwisha lipia jana yake lakini risiti zao walikuwa hawajaziwasilisha kwa wahasibu wa Halmashauri hiyo.

Aidha Serukamba amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Michael Matomora kusimamia kikamilifu Idara ya uhasibu ambayo ilionekana kutotekeleza wajibu wao katika kufuatia wadaiwa hao ambapo amewataka wahakikishe kila mwenye mashine ya makusanyo anapeleka fedha Benki kila siku.

Amesema uwepo wa wadaiwa sugu imetokana na wahasibu kutofatilia pindi wanapogawanya mashine za kukusanya fedha na wakati mwingine kutohakiki madeni ya risiti wanazopatiwa na wadaia hao.

Hata hivyo Serukamba ameagiza kupatiwa taarifa za makusanyo kila baada ya siku mbili ionyeshe kiwango cha madeni kilichokusanywa pamoja na makusanyo mapya.

Kwa upande wao wadaiwa wakati wakihojiwa wengi wao waliahidi kulipa fedha hizo zilizobaki katika kipindi cha wiki mbili hadi miezi mitatu ijayo huku wengine wakiishia mikononi mwa Polisi baada ya kutoa taarifa halisi.

Aidha amewataka wasimamizi wa mfumo wa fedha katika Halmashauri hiyo kuhakikisha wanahakiki madeni ndani ya mfumo ambayo yameshalipwa na kuyafuta ili yabaki madeni halisi.

Halmashauri hiyo kwa sasa inadai jumla ya sh. Milioni 203.51 baada ya wadaiwa wengine kulipa madeni yao.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.