• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WANANCHI SINGIDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA.

Posted on: September 14th, 2024

Mjumbe wa Tume huru ya uchaguzi,Mhe,Dkt.Zakia M.Abubakar ametoa wito kwa wananchi Mkoani Singida kutoa ushirikiano kwa asasi mbali mbali zinazotoa elimu ya mpiga kura katika kipindi hiki cha uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Hayo yamesemwa  (Septemba 14,2024) katika mafunzo kwa watendaji ngazi ya Mkoa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura aliyofanyika katika Chuo cha uhasibu Mkoani Singida yaliyohusisha mratibu wa uandikishaji wa Mkoa,maafisa uandikishaji,maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya jimbo,maafisa uchaguzi,maafisa ugavi na maafisa TEHAMA Wa halmashauri.

Amesema kuwa matokeo bora ya zoezi hili yatategemea ushirikiano mkubwa kati ya watendaji wote wa uboreshaji,serikali,vyama vya siasa na wadau wengine wa uchaguzi kwa kuwa na ushirikiano mzuri na wa karibu na tume wakati wote wa utekelezaji.

Dkt.Zakia Amesema kuwa Tume imetoa kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura katika kipindi hiki ambapo jumla ya asasi 290 kwa ajili ya uangalizi wa zoezi hilo huku akisisitiza utekelezaji wa majukumu katika kila eneo.

 

Baadhi ya wajumbe wakishiriki katika Mkutano wa Mafunzo ya usimamizi wa uchaguzi na uandikishaji wa daftari la wapiga kura. 

Pia,amesisitiza utunzwaji wa vifaa vya uandikishaji kwani vinatarajiwa kutumika katika maeneo mengine ya uandikishaji nchini na gharama za ununuzi wake ni kubwa sana na endapo utunzwaji wake hautazingatiwa kutapelekea athari kubwa katika ukamilishwaji wa zoezi hilo.

Zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa daftari la wapiga kura Mkoani Singida linatarajiwa kuanza Septemba 25,2024 na kukamilika Octoba mosi.




Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.