• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Washauriwa kuongeza usimamizi wa vyanzo vya mapato _ RC Mahenge

Posted on: June 15th, 2022


Manispaa ya Singida imetakiwa kuongeza usimamizi na kubaini vyanzo vipya vya mapato vitakavyo saidia kuendesha miradi mbalimbali ambayo inachelewa kukamilika kutokana na Uhaba wa fedha.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dk.Binilith Mahenge alipokuwa akihutubia Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo lililokutana leo kujadili hoja za ukaguzi Mkutano ambao ulifanyika katika ukumbi wa   Shule ya Sekondari  Mwenge Mjini hapo .


RC Mahenge amesema kwamba Halmashauri hiyo ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo havijasimamiwa vizuri na endapo usimamizi utakuwa mzuri mapato yangeongezeka kwa kiasi kikubwa.


"Fanyeni tathmini ya vyanzo vyenu vya mapato mjiridhishe muone  uwezo wake na kiwango mnachopata vinaendana? Nina amini vyanzo vya mapato Kama vituo vya Afya na standi vina uwezo wa kutoa mapato makubwa havijasimamiwa ipasavyo" Alisema RC Mahenge.


Aidha amewataka kutumia mamlaka na vyombo walivyonavyo kukusanya mapato ili kukabiliana na wateja  ambao wanakwepa kulipa kodi ya Serikali.


Hata hivyo ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuwa na hoja chache za ukaguzi ambazo zinatokana na sera na bàadhi yake kutokana na mikopo ya vikundi.


Hata hivyo RC ametoa angalizo kwa Madiwani pamoja na wataalamu wa maendeleo ya Jamii kuhakikisha  wanafanya tathmini ya mkopaji kabla ya kumkopesha ikiwa ni pamoja na elimu ya ujasiriamali na namna  ya kutunza fedha.


 Awali akimkaribisha Mkuu huyo Mstahiki Meya Yagi Kyaratu amesema wapo tayari kutekeleza maagizo hayo huku akieleza kwamba tayari wameshaanza kubaini vyanzo vingine vya mapato ikiwemo Ujenzi wa maegesho ya magari kutokana na uwekezaji utakao anza hivi karibuni wa Mradi wa Umeme wa upepo .


 Amesema wametenga bajeti kwa ajili ya kutengeneza Mazingira mazuri ya fukwe za ziwa Kindai na Singidani Kama sehemu ya mapumziko ambayo yatatumika pia kuingizia mapato Halmashauri kwa namna tofauti.


Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.