• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

Posted on: May 2nd, 2025

Hafla ya kuwatunza vyeti watumishi na waajiri hodari katika Mkoa wa Singida imefanyika leo Mei 2,2025 katika uwanja wa Bombadia likihusisha watumishi kutoka katika halmashauri zote za mkoa wa Singida

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego,amewashukuru viongozi wote walioshiriki kutoa ushirikiano katika maandalizi yote ya Meimosi Taifa mpaka pale jambo lilipokamilika wakiongozwa na menejimenti ya Mkoa chini ya Katibu Tawala wa Mkoa , Menejimenti ya TUCTA, viongozi wa Chama cha mapinduzi,vijana wa hamasa,na wananchi kwa ujumla kufanikisha shughuli hiyo.

"Shukran za dhati zimwendee Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jambo jema la kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa asilimia 35 hakika amewatia moyo wafanyakazi na kuwafanya waendelee kujituma zaidi."amesema Mhe.Dendego


Pia amesisitiza kuwa Mkoa wa Singida ni sehemu nzuri sana ya kupokea wageni hivyo ni vyema kwa wafanyakazi wote kushirikiana kwa umoja na nguvu ya mshikamano itasogeza Mkoa mbele kimaendeleo.


Naye Katibu tawala mkoa wa Singida amewaasa wafanyakazi mkoani songea kufanya kazi kwa bidii zaidi kwa kuhakikisha kila mmoja anatimiza wajibu wake vyema kulingana na majukumu yake yanavyomhitaji ili kutoa matokeo mazuri zaiildi katika sekta mbalimbali mtumishi anafanya kazi.

Mwenyekiti wa TUCTA Mkoa wa Singida ametoa pongezi kubwa kwa wafanyakazi wa Mkoa wa Sungura kwa ushirikiano wao wote waliouonyesha kabla na hata baada ya sherehe za Mei Mosi.Pia amezishukuru kamati mbalimbali zilizohusika katika maandalizi ya sherehe za Meimosi kwa kushiriki pamoja katika kuandaa kikamilifu shughuli mbalimbali za Meimosi kwa ukamilifu 

Kwa niaba ya wafanyakazi wote , Mwenyekiti wa TUCTA mkoa amesema kuwa wamepokea kwa moyo mkunjufu ongezeko la mshahara wa wafanyakazi alioahidi kuwaongezea wafanyakazi kwa ongezeko la asilimia 35 litakaloanza mwezi Kikao mwaka huu.

Baada ya hayo Mkuu wa Mkoa alikabidhi zawadi mbalimbali kwa watumishi hodari waliofanya vema katika kazi zao kwa vitengo mbalimbali na kufanikisha mafanikio katika sekta mbalimbali wakiwemo watumishi na waajiri.











Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.