• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wito watolewa kwa wakazi wa Singida kuendelea kupata chanjo ya UVIKO 19.

Posted on: November 17th, 2021


Wakazi wa Mkoa wa Singida wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kupata chanjo ya Uviko 19 ambazo zinatolewa na wataalamu wa afya katika vituo mbalimbali  ili kuwa na mtaji wa kiafya utakaosaidia kuongeza uzalishaji na kuimarisha uchumi wao.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Binilith Mahenge  alipokuwa akifungua kikao cha kamati ya Afya ya msingi  Mkoa (PHC) kilichofanyika leo katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Dkt. Binilith Mahenge amesema kwamba ili kuleta maendeleo makubwa katika Mkoa wa Singida ni muhimu kulinda afya za watu na kuwaepusha maradhi  ili waweze kuwa na nguvu za kuzalisha.

Aidha Mkuu wa mkoa amewataka wataalamu wa afya kuendelea kuwafuata wananchi majumbani na kutoa chanjo kwa hiari kwa kuwa imeonekana kusaidia wananchi ambao kwa sababu moja au nyingine wanashindwa kufika vituo vya kutolea huduma ya chanjo.

Hata hivyo ametoa wito kwa wataalamu wa afya kuendelea kutoa elimu juu uchanjaji iendelee kutolewa kwa wananchi ili kuhamasika na uchanjaji  ambapo kwa sasa hakuna dawa ambayo imeshapatikana ya kutibu uviko 19.

Amewataka wananchi kuendelea kunawa na kutumia vitakasa mikono ili kuepuka maambukizi ambayo yanaweza kuathiri maisha yao.

Aidha Dkt. Mahenge amesema kwamba kikao  kazi hicho kimelenga kutathmini zoezi la utoaji wa chanjo ya korona mkoani hapo Janssen katika awamu ya kwanza na kuangalia namna ya uendeshaji wa zoezi la pili kwa uharaka zaidi.

Amesema kwasasa mkoa unaendelea na utoaji wa chanjo aina ya sinopham japo mwitikio bado  haujawa mzuri hivyo kuwataka wananchi kujitokeza kupata chanjo hizo ili kujiepusha na athari za ugonjwa wa UVIKO 19.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.